Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 16,528
- 41,042
Kati ya taasisi za kipuuzi kabisa kwa sasa, mojawapo ni TBC.
Rais Magufuli amekuwa anatukana watu hadharani, na TBC wakiwa mubashara. Lakini wapinzani hawajawahi kutoa tusi lolote. Wakiusema tu ukweli dhidi ya Magufuli, wanasema ni matusi!
Hivi mtu akisema kuwa Rais amejenga uwanja mkubwa wa ndege Chato wakati hakuna hata manispaa moja yenye uwanja mkubwa kama wa Chato, hilo ni tusi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Rais Magufuli amekuwa anatukana watu hadharani, na TBC wakiwa mubashara. Lakini wapinzani hawajawahi kutoa tusi lolote. Wakiusema tu ukweli dhidi ya Magufuli, wanasema ni matusi!
Hivi mtu akisema kuwa Rais amejenga uwanja mkubwa wa ndege Chato wakati hakuna hata manispaa moja yenye uwanja mkubwa kama wa Chato, hilo ni tusi?
Sent using Jamii Forums mobile app