Mboni ni Mwislamu
hapa sasaMwenyekiti wa CCM, dini yetu.
Mwenyekiti wa UWT, dini yetu
Mwenyekiti wa UVCCM, dini yetu
Makam Mwenyekiti wa UVCCM, dini yetu.
Bado mwenyekiti wa Watoto.
Mwenyekiti wa CCM, dini yetu.
Mwenyekiti wa UWT, dini yetu
Mwenyekiti wa UVCCM, dini yetu
Makam Mwenyekiti wa UVCCM, dini yetu.
Bado mwenyekiti wa Watoto.
Kwa taarifa yako Sophia Simba ambae ni mwenyekiti wa UWT ni mkristo tena mkatoliki wa Maneremango.CCM hakuna uenyekiti wa watoto labda hiyo nafasi ianzie CDM na Junior Slaa awe mwenyekiti wa kudumu.
Kwa taarifa yako Sophia Simba ambae ni mwenyekiti wa UWT ni mkristo tena mkatoliki wa Maneremango.CCM hakuna uenyekiti wa watoto labda hiyo nafasi ianzie CDM na Junior Slaa awe mwenyekiti wa kudumu.
Sasa mkristu wa kweli anatoka wapi uchagani? dhambi ya ubaguzi itawatafuna ngirimaji nyie.Mmeshindwa kupandikiza hisia za udini kwenye safu ya uongozi CCM sasa hivi unawabagua wakristu wenzako kwa ukanda.Shame on you!!!!Tangu lini mzaramo akawa mkristu? Kutakuwa na sababu zilizopelekea kubadilisha kuwa mristu. Hata hivyo sifikiri kama bado ana ukristu kweli au anatumia tu mwamvuli wa ukristu kukizi haja zake na za wezake.
Kumbe kuwa mkristu kuna vigezo vya ukabila na sehemu mtu anakotoka ebu basi vimwage jamvini...Tangu lini mzaramo akawa mkristu? Kutakuwa na sababu zilizopelekea kubadilisha kuwa mristu. Hata hivyo sifikiri kama bado ana ukristu kweli au anatumia tu mwamvuli wa ukristu kukizi haja zake na za wezake.
huyu ni mboni yule mwenye kipindi cha 'mboni talk show'?
Hivi na wewe hauoni tofauti ya chipukizi na watoto? au hilo nalo linahitaji mpaka waje hao unaoamini GT waje wakukumbushe?Eti CCM hakuna uenyekiti wa watoto? Hebu elimika kupitia JF, the home of great thinkers:
Mwenyekiti wa Taifa wa Chipukizi wa CCM ni Gabriel Amos Makala, mtoto wa naibu waziri Amos Makala. Alichaguliwa akiwa mtoto wa miaka 12.
Khalfani Jakaya Kikwete, mtoto wa M'kiti wa CCM Taifa, pia ni Mjumbe wa baraza kuu la taifa la Chipukizi wa CCM. Alichaguliwa akiwa mtoto wa miaka 11.
kumbe uko U.S.A mkuu. asante kwa kutujulisha.HAWA VIJANA WAKAE MTAZAMO WA KUJENGA UCHUMI NA SIO KUIMALISHA CHAMA. Inabidi wafanye study tour nchini marekani, Israel na Uingereza waone vijana wenzao wanatoa mchango gani katika kufuta ukosefu wa ajira ktk nchi zao na wao wataibanaje serikali ku create more jobs kuliko kugharimia vikao vya NEC.
waje USA, halafu watembelee financial district pale low mnhatan,. Hapo watafika mpaka new York stock exchange. Pale new york stock exchange pana maktaba ambamo kuna watu wa kila rika, wanajua uchumi karibia wa dunia nzima na ushauri wao husisimua sana.. ni vizuri wajifunza Ulaya magharibi na USA walifanikiwaje mafanikio makubwa ya kiuchumi kuliko kwenda China na Urussi kujifunza propaganda za kulaghai umma. Maneno kama magamba, Kubobea na mengine ni propaganda za kuchezea akiri za watu tuu uawtawalao. Hivyo nyie vijana badilikeani.
Tangu lini mzaramo akawa mkristu? Kutakuwa na sababu zilizopelekea kubadilisha kuwa mristu. Hata hivyo sifikiri kama bado ana ukristu kweli au anatumia tu mwamvuli wa ukristu kukizi haja zake na za wezake.
Sasa mkristu wa kweli anatoka wapi uchagani? dhambi ya ubaguzi itawatafuna ngirimaji nyie.Mmeshindwa kupandikiza hisia za udini kwenye safu ya uongozi CCM sasa hivi unawabagua wakristu wenzako kwa ukanda.Shame on you!!!!
hata namimi nashangaaa ndio maana nimeuliza ukomo wa umri wa jumuia hii. hawachelewi kutudanganya kwamba ni under 25.mbona vijana wanaoneka kama wazee?
wadau naomba kujuzwa kikomo cha umri wa kugombea UVCCM.
Namkubali Kigoda, Shein, Nahodha, Dr. Mwinyi na hata Migiro wote ni spotless ila kuna silent (haijaandikwa popote), zamu kati ya bara na visiwani na kati ya Mkristo na Muislamu!. Baada ya Kapa zamu ilikuwa ni ya Zanzibar na Muislamu!, wajanja kwa kulijua hilo, zamu ilikuwa ni ya Dr. Omar, ili kuipoka zamu ya Zanzibar, there was no way, Dr. Omar had to go!, ili zamu irudi huku kwa kukosa mtu kule!.Mkuu kama AFYA isipokubali 2015, tutapiga kura za chuki dhidi ya Membe! Utashangaa maana Membe, Sita, Mwakyembe wote hatuwahitaji.
Tunaweza kumpa Abdallah Kigoda. Najua wengi hammfikirii.
We always have plan B.
Mark my words and watch JF!
Kwa taarifa yako Sophia Simba ambae ni mwenyekiti wa UWT ni mkristo tena mkatoliki wa Maneremango.CCM hakuna uenyekiti wa watoto labda hiyo nafasi ianzie CDM na Junior Slaa awe mwenyekiti wa kudumu.