Ronal Reagan
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,299
- 3,056
Uchaguzi au gulio la ununuzi wa uongozi? Kama wanachofanya CCM kuanzia kwenye jumuia zake, CC hadi NEC kinaitwa uchaguzi basi inanibidi nirudi darasani haraka.
Yale ni maonesho ya fedha chafu, majigambo, ubinafsi, ushirikina, unafiki na uasherati. Ni gulio fulani ambalo ni chafu sana
Yale ni maonesho ya fedha chafu, majigambo, ubinafsi, ushirikina, unafiki na uasherati. Ni gulio fulani ambalo ni chafu sana