Uongozi BAWACHA: Suzan Kiwanga ajitosa rasmi kuwania Uenyekiti wa BAWACHA Taifa

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,731
218,311
Wakuu wakati Taifa letu likiwa tulivu kabisa baada ya wananchi kuombwa wawe na mshikamano , basi kule BAWACHA nako mambo yanazidi kusogea kimya kimya .

Mh Suzan Kiwanga mbunge wa zamani wa Mlimba aliyedhulumiwa hata kutetea tena ubunge wake kwa sababu ambazo hata Tume ya Uchaguzi haizifahamu , leo amerejesha fomu ya kuomba Uenyekiti wa BAWACHA baada ya Halima Mdee aliyekuwa Mwenyekiti wa BAWACHA Taifa kuvuliwa uanachama kwa tuhuma za usaliti

Tunamtakia kila la heri .

Pia soma >
Kamati Kuu ya CHADEMA yawavua nyadhifa na uanachama Halima Mdee na wenzake 18 walioapishwa kuwa Wabunge wa Viti Maalum
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…