Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,731
- 218,311
Swali lako ni zuri sana lakini halitajibiwa kwa sasaWewe umewania nafasi gani?
Uchaguzi ni mpaka 2025. Mkuu yupo chimbo kafunga Kwaresma analiombea Taifa.Wajuzi wa mambo ya katiba wanasemaje kuhusu uchaguzi mkuu? Au mama yetu VP ataendelea kushika nafasi mpaka 2025 au baada ya SIku 90 utaitishwa uchaguzi mpya?
Ohoooo !!Wajuzi wa mambo ya katiba wanasemaje kuhusu uchaguzi mkuu? Au mama yetu VP ataendelea kushika nafasi mpaka 2025 au baada ya SIku 90 utaitishwa uchaguzi mpya?
Kamuulize Ndugai atakupa majibu.Kwani kuna Bawacha mbili manka?
Unamkumbuka Kinanasi?Swali lako ni zuri sana lakini halitajibiwa kwa sasa
Mbunge aliyewekwa na Rostam ili kumkomoa Mwakyembe kutokana na mambo ya Richmond au Unamzungumzia Kinanasi yupi ?Unamkumbuka Kinanasi?
Uchaguzi ni 2025 awepo au asiwepo kwa mujibu wa Sheria MamaWajuzi wa mambo ya katiba wanasemaje kuhusu uchaguzi mkuu? Au mama yetu VP ataendelea kushika nafasi mpaka 2025 au baada ya SIku 90 utaitishwa uchaguzi mpya?
Bado unawaza kijima kiasi hiki ! unaishi ndani ya chungu ?chama kimejaa wachaga
πππ Sawa, tusubiri uchaguzi. Nitafurahi kama utachaguliwa nafasi unayogombea.Swali lako ni zuri sana lakini halitajibiwa kwa sasa
Wale mliowaapisha ni wabunge wa NdungaiKwani kuna Bawacha mbili manka?
Kwani Ndugai yuko CHADEMA?Wale mliowaapisha ni wabunge wa Ndungai
Mtetezi wa wajinga wenzio si Ndugai au umesahau Covid19 timu kocha wao ni nani Tanzania kama si huyo Ndugai.Kwani Ndugai yuko chadema?