Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 116,495
- 215,350
Wakuu wakati Taifa letu likiwa tulivu kabisa baada ya wananchi kuombwa wawe na mshikamano , basi kule BAWACHA nako mambo yanazidi kusogea kimya kimya .
Mh Suzan Kiwanga mbunge wa zamani wa Mlimba aliyedhulumiwa hata kutetea tena ubunge wake kwa sababu ambazo hata Tume ya Uchaguzi haizifahamu , leo amerejesha fomu ya kuomba Uenyekiti wa BAWACHA baada ya Halima Mdee aliyekuwa Mwenyekiti wa BAWACHA Taifa kuvuliwa uanachama kwa tuhuma za usaliti
Tunamtakia kila la heri .
Pia soma > Kamati Kuu ya CHADEMA yawavua nyadhifa na uanachama Halima Mdee na wenzake 18 walioapishwa kuwa Wabunge wa Viti Maalum
Mh Suzan Kiwanga mbunge wa zamani wa Mlimba aliyedhulumiwa hata kutetea tena ubunge wake kwa sababu ambazo hata Tume ya Uchaguzi haizifahamu , leo amerejesha fomu ya kuomba Uenyekiti wa BAWACHA baada ya Halima Mdee aliyekuwa Mwenyekiti wa BAWACHA Taifa kuvuliwa uanachama kwa tuhuma za usaliti
Tunamtakia kila la heri .
Pia soma > Kamati Kuu ya CHADEMA yawavua nyadhifa na uanachama Halima Mdee na wenzake 18 walioapishwa kuwa Wabunge wa Viti Maalum