Uongo Wikipedia kuhusu Dini Tanzania

Uongo Wikipedia kuhusu Dini Tanzania

Watu wanaangalia idadi za watu ni wale wenye akili zamiaka ya kupigana kwa majambia. Watu kama israel wanaangalia uwezo wa watu. Watu wachache ila elimu na technologia iko juu. Watu wachache ila ukiwagusa msiki wataokuonyesha utakoma mwenyewe.
 
Wako sahihi kivipi mbona mnaongea kama vile mmetoka usingizinj hatujawahi hesabiwa kwa dini zetu sasa mnasemaje wako sawa
-------------------------------Tatizo ni dini zenu hizo ambazo mnafahamiana kwa mavazi na majina au kubashiri kutokana na mtu kazaliwa na nani.

Haiko hivyo. Watu walio makini hawasubiri sensa ya taifa kufahamiana wako wangapi. Usiku mwama.
 
Kama dini yako (BTW , foreign and imported religions). Kama haijawekwa kwa data sahihi, unaweza ukatuwekea sahihi hata hapa jukwaani tu.

Vinginevyo, acha upoyoyo kujivika tamaduni za wazungu koko na warabu pori kuwa ndiyo dini na kujidai eti takwimu haziko sasa.
 
Ninaomba mbadilishe chochote kile kwenye Wikipedia alafu mnipe mrejesho naahidi kuwapa pesa. Chochote kile ilimradi uthibitishe hilo, unionyeshe before and after kuedit. Badilisha hata mwaka wa kuzaliwa wa mtu yeyote

Naahidi kutimiza nadhiri yangu


Wikipedia siyo chanzo bora cha kufanyia rejea maana kesho unaweza kuta idadi yetu tunao amini matambiko ya babu zetu ikawa asilimia 95, na asilimia iliyobaki ni dini za kuja kwa merikebu na majahazi .

Hivyo usihangaike na takwimu za Wikipedia nenda BAKWATA ,TEC, KKKT /ELCT, AICT, SDA, FGCT, ACT, MORAVIAN, PCT , BAHA'I n.k kama unataka kujua idadi ya takwimu sahihi za waumini wao.

Wikipedia hata wewe uki-subscribe tu unaweza kuweka chochote ukipendacho. Hivyo usiiamini kwa 100%

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu ingia hata wewe hapo Wikipedia weka hiyo dini yako iwe 95% sio tatizo wamekupa hiyo fursa

WIKIPEDIA NI SHAMBA LA BIBI..so mkuu wala usipate shida..kama UNAZO DATA SAHIHI nenda UKAEdit tu..pale kila mtu anaweza fanya yake..mfano kaangalie "yule Mkuu wa mkoa" wamemwandikaje..utacheka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
View attachment 558921 Habari ndugu,
Nimefungua wikipedia nlikuwa napitia nchi yetu hii TANZANIA lakini ajabu nimekuta takwimu za dini, lakini nijuavyo mimi nchi yetu huwa haina idadi wala makadirio kati ya WAISLAMU NA WAKRISTO.

Sasa hawa wikipedia wanadai hizi data wamezipata kutoka CIA.


Tanzania - Wikipedia
Ni lazima wajionyeshe wao "wakiristo" wapo wengi hii ni kutokana na "wao" wamewahishwa sana tu baada ya uhuru upendeleo katika elimu na mashule mengi wakati wa ukuloni zilikuwa za makanisa. Waislamu nchi hii kiserikali ambayo inaongozwa na kanisa wanakuwa ni raia wa daraja la pili kama walivyo raia wenye asili ya kihindi au kiarabu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wanaangalia idadi za watu ni wale wenye akili zamiaka ya kupigana kwa majambia. Watu kama israel wanaangalia uwezo wa watu. Watu wachache ila elimu na technologia iko juu. Watu wachache ila ukiwagusa msiki wataokuonyesha utakoma mwenyewe.
Huyo muisraeli anakuona wewe mtu mweusi takataka tu asili yako mtumwa lakini ni kujipendekeza tuuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo muisraeli anakuona wewe mtu mweusi takataka tu asili yako mtumwa lakini ni kujipendekeza tuuu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Kusema ukweli sio kujikomba. Siwapendi waisrael kwasababu wanaubaguzi. Ila pia nawasifu kwa jinsi walivyoweza kujenga nchi yenye nguvu huku wakiwa wachache na hawana mali asili yoyote zaidi ya rasilimali watu. Wame wekeza kwenye elimu ya raia wao na sasa wanautaalam mkubwa kwenye mambo mengi hata ukiweka pembeni mambo ya kijeshi. Wakati hapa Tanzania kuna jamii zisizo jali elimu na kuendekeza kuza watoto wengi bila uwezo. Hizo jamii hata viongozi wao walipokuwa maraisi waliweka mfumo wa kuwanufaisha watu wasio na elimu. Kuna kiongozi mmoja wa alikuwa na raisi wauza chips wakawa na hela kuliko mwalimu wa chuo. Akaja raisi mwingine msomi wa jamii hizi akaweka mfumo wa watu wenye vyeti feki ndio walio fanikiwa. Hata kagame alisema huyu kuongozi wa pili alitengeneza kundi la watu aliowaita , kama nakumbuka vizuri , fake or mediocre entrepreneurs
 
Halafu kuhusu CIA kujua kila kitu sio kweli hizo hadithi za wajinga

Mitume na Manabii pamoja na Mashetani hawakujua kila kitu hata malaika hawajui kila kitu kwa mujibu wa imani yangu na kwa mujibu wa wanasayansi pia na kwa mujibu wa mtu yoyote.

Nimewapa link hapo CIA wakikiri kuwa huwa wanadanganya public sana kupitia media na njia nyingine.

Takwimu wanazitoa wapi yaani simple logic tu halafu hizo ni za kwao na mimi nachoshangaa kabisa ni kuwa hiyo issue serikali yetu long time haikutaka kujua idadi hiyo

Nachokwambia mfano wangeandika kuwa raisi wetu ni Lowasa lazma wahusika wangehusika lakini kwenye hili tena ambalo huwa wanalikataa sana mbona hawachukui hatua kutoa hizo data za uongo
Mkuu najua kama Serikali ya Tanzania hawafanyi sensa ya kujua idadi ya watu wa dini mbalimbali. Lakini CIA wanaweza kufanya sensa kwa siri yenye kuwapa makadirio. Kwa waliosoma hesabu au sayansi hadi level ya juu wanajua njia za kukadiria vitu flani. Kwa mfano watu wa tafiti za madini, mafuta na gesi wanafanya hesabu na kujua hapa chini kuna tani kadhaa za dhahabu au mapipa kadhaa ya ges au mafuta ambayo tutachimba labda miaka 20. Wanafanya hivyo bila kuchimba na kupima madini yote kwenye mzani au kuhesabu mapipa yote ya gesi/mafuta. Sasa nitakupa mfano hawa jamaa wanavyoweza kukusanya data za makadirio:
  1. Kupitia baadhi ya formu tunazojaza za kupatiwa misaada ya neti za mbu kwa hisani ya watu wa marekani.
  2. Kupitia takwimu za misaada ya dawa kama ARV.
  3. Kupitia katika taasisi zetu nyingi za serikali tunazoombwa kujaza dini zetu, Mfano Formu za kujiunga shuleni na vyuoni. Si unajua sikuhizi tunavyotumia ICT infrastructure kuhifadhi taarifa na wakati huo mifumo yetu sio secure.
  4. Watu wanaojiunga kupata ajira taasisi mbalimbali wanajaza dini yao, hapa usishangae watu wa idara nyeti wanajua makadirio ya idadi ya waumini wa kila dini na ndani ya hizo idara kuna watu ni moles wa kupeleka taarifa kwa majasusi wa nje ya nchi kama CIA.
NOTE:
Utaona kwamba kati ya hizi njia nilizopendekeza nyingi zinahusisha watu waliosoma angalau kiwango cha kugushi vyeti ( kidato cha 4) ambao hata ushahidi wa waliotumbuliwa kwa mambo ya vyeti feki (fake /bandia) wengi ni wakristo. Ushahidi ni watu waliotumbuliwa vyeti feki na serikali wengi ni hao waliosemwa na CIA.

Pia kwa mambo ya kwenda kupata ARV na chanjo mbalimbali ni rahisi sana kuwapata wa dini hiyo iliyoonesha wapo wengi kwa sababu ya aina ya maisha yao (eg. Kunywa pombe na kufanya ngono zembe na ndio maana waliko watu hao wengi ndio gesti nyingi na mikoa hiyo maambukizi ni mengi kuliko Zanzibari na maeneo mengine ya waumini wengi wa upande wa pili).

Jambo jingine hao wanaojiunga taasisi mbalimbali kwa mambo ya elimu na ajira kwa miaka mingi walikuwa watu wa dini hiyo iliyooneshwa asilimia kubwa na CIA kwa sababu mbalimbali. Ushahidi ni malalamiko ya muda mrefu ya waislam ( kumbuka wazee wa kulalamikia mfumo kristo au mfumo katoliki).

Mwisho kabisa haya ni maoni yangu na wala sio tafiti rasmi ya kisayansi, naweza kuwa nimepotosha au kosea mambo mengi niliyopendekeza. Nakaribisha kukosolewa.
 
Mkuu najua kama Serikali ya Tanzania hawafanyi sensa ya kujua idadi ya watu wa dini mbalimbali. Lakini CIA wanaweza kufanya sensa kwa siri yenye kuwapa makadirio. Kwa waliosoma hesabu au sayansi hadi level ya juu wanajua njia za kukadiria vitu flani. Kwa mfano watu wa tafiti za madini, mafuta na gesi wanafanya hesabu na kujua hapa chini kuna tani kadhaa za dhahabu au mapipa kadhaa ya ges au mafuta ambayo tutachimba labda miaka 20. Wanafanya hivyo bila kuchimba na kupima madini yote kwenye mzani au kuhesabu mapipa yote ya gesi/mafuta. Sasa nitakupa mfano hawa jamaa wanavyoweza kukusanya data za makadirio:
  1. Kupitia baadhi ya formu tunazojaza za kupatiwa misaada ya neti za mbu kwa hisani ya watu wa marekani.
  2. Kupitia takwimu za misaada ya dawa kama ARV.
  3. Kupitia katika taasisi zetu nyingi za serikali tunazoombwa kujaza dini zetu, Mfano Formu za kujiunga shuleni na vyuoni. Si unajua sikuhizi tunavyotumia ICT infrastructure kuhifadhi taarifa na wakati huo mifumo yetu sio secure.
  4. Watu wanaojiunga kupata ajira taasisi mbalimbali wanajaza dini yao, hapa usishangae watu wa idara nyeti wanajua makadirio ya idadi ya waumini wa kila dini na ndani ya hizo idara kuna watu ni moles wa kupeleka taarifa kwa majasusi wa nje ya nchi kama CIA.
NOTE:
Utaona kwamba kati ya hizi njia nilizopendekeza nyingi zinahusisha watu waliosoma angalau kiwango cha kugushi vyeti ( kidato cha 4) ambao hata ushahidi wa waliotumbuliwa kwa mambo ya vyeti feki (fake /bandia) wengi ni wakristo. Ushahidi ni watu waliotumbuliwa vyeti feki na serikali wengi ni hao waliosemwa na CIA.

Pia kwa mambo ya kwenda kupata ARV na chanjo mbalimbali ni rahisi sana kuwapata wa dini hiyo iliyoonesha wapo wengi kwa sababu ya aina ya maisha yao (eg. Kunywa pombe na kufanya ngono zembe na ndio maana waliko watu hao wengi ndio gesti nyingi na mikoa hiyo maambukizi ni mengi kuliko Zanzibari na maeneo mengine ya waumini wengi wa upande wa pili).

Jambo jingine hao wanaojiunga taasisi mbalimbali kwa mambo ya elimu na ajira kwa miaka mingi walikuwa watu wa dini hiyo iliyooneshwa asilimia kubwa na CIA kwa sababu mbalimbali. Ushahidi ni malalamiko ya muda mrefu ya waislam ( kumbuka wazee wa kulalamikia mfumo kristo au mfumo katoliki).

Mwisho kabisa haya ni maoni yangu na wala sio tafiti rasmi ya kisayansi, naweza kuwa nimepotosha au kosea mambo mengi niliyopendekeza. Nakaribisha kukosolewa.

Naweza kukubalia lakini kumbuka asilimia chache ndio wanaweza kuwa wameguswa na hesabu zao kwa hivyo kuna room kubwa ya error halafu sio kila CIA akisemacho ndio UKWELI tena infact vingi huwa ni uongo.

Tatizo linakuja kuwa wikipedia Statistics za TANZANIA ningetegemea wapate kutoka kwetu na waheshimu KUKATAA KWETU kuhesabiana KIDINI.

Halafu pia CIA sio wakweli kwenye mambo mengi sana

Nimeonesha pia KENYA hawakuweka DINI LAKINI wameweka UKABILA.
( wanajaribu kuangalia kipi sensitive kuweza kuanza kupenyezea chokochoko ambazo ni useless kwa nchi husika)

Fungua artcle ya USA Kwenye Wikipedia mbona population na religion statistics DATA hawajatoa CIA.


Hayo pia ni mawazo yangu tu ndugu.
 
Watu wanaokuwa obsessed sana na udini mara nyingi huwa na kasoro ya ubongo!

Sent using Jamii Forums mobile app

NI KWEI KAMA CIA NA WIKIPEDIA MAANA NCHI YETU HAITAKI UDINI WALA HATUHESABIWI KWA DINI LAKINI HAWA CIA NA WIKIPEDIA WANALETA UDINI WAO USIOKUWA NA KICHWA WALA MKIA

NA PIA KENYA WAMEWAPELEKEA UKABILA HUKO HAWAKUPELEKA UDINI. FUNGUA ARTICLE YA KENYA UTAONA WAMEWEKA TAKWIMU ZA KIKABILA HAWA WAZUNGU TUWE NAO MAKINI SANA YAPO WAYATAKAYO.
 
Kusema ukweli sio kujikomba. Siwapendi waisrael kwasababu wanaubaguzi. Ila pia nawasifu kwa jinsi walivyoweza kujenga nchi yenye nguvu huku wakiwa wachache na hawana mali asili yoyote zaidi ya rasilimali watu. Wame wekeza kwenye elimu ya raia wao na sasa wanautaalam mkubwa kwenye mambo mengi hata ukiweka pembeni mambo ya kijeshi. Wakati hapa Tanzania kuna jamii zisizo jali elimu na kuendekeza kuza watoto wengi bila uwezo. Hizo jamii hata viongozi wao walipokuwa maraisi waliweka mfumo wa kuwanufaisha watu wasio na elimu. Kuna kiongozi mmoja wa alikuwa na raisi wauza chips wakawa na hela kuliko mwalimu wa chuo. Akaja raisi mwingine msomi wa jamii hizi akaweka mfumo wa watu wenye vyeti feki ndio walio fanikiwa. Hata kagame alisema huyu kuongozi wa pili alitengeneza kundi la watu aliowaita , kama nakumbuka vizuri , fake or mediocre entrepreneurs

Ndugu Israel hakuna nchi iliyoendelea wala kujengwa ni TAIFA AMBALO limesaidiwa kwa almost kil kitu na Mataifa ya ULAYA pamoja na USA.

Na ninaamini mpaka sasa inawezekana bado ni so called "Third World Country"
 
Kwani sida ni nini hapo. Mahali fulani imeandikwa waungwana huchunguza. Naona watu wanabisha halafu hawana hizo takwimu wanazozani ni sahihi. People are subjective instead of being objective. Una takwimu sahihi kutoka vyanzo vinavyojulikana tupia siyo mnaleta siasa. Otherwise Wikipedia stands and remains correct. Full stop..!

Ndugu kutokuwa na takwimu au knowledge ya kitu husika doesnt mean chochote kiletwacho unaamini tu,

MWENYEZI AMETUJAALIA AKILI NA KIDOGO SHULE TULIPITA NA TENA TULIKUWA SERIOUS KUJITAHIDI KUFUTA UJINGA.

SASA FAIDA YA ELIMU NI KUWEZA KUJUA INSTANTLY KUHUSU UONGO WA KIPUMBAVU,

kwa mfano ukiambiwa TANZANIA asilimia 98 ya wanaume ni viwete ina maana utakubali kwa sababu takwimu kamili huna.
 
Ndugu Israel hakuna nchi iliyoendelea wala kujengwa ni TAIFA AMBALO limesaidiwa kwa almost kil kitu na Mataifa ya ULAYA pamoja na USA.

Na ninaamini mpaka sasa inawezekana bado ni so called "Third World Country"

Hoja yako nyepesi. Hata tanzania tumesaidiwa sana na bado ni masikini. Pili hata China bado no Third world nazani lakini huwezi kulinganisha Israel au China na nchi za kiafrika. Nchi ya israeli kufika ilipofika ni kama miujiza maana inazungukwa na nchi maadui za kiarabu tena zenye mafuta na watu kibao na yenyewe haina mafuta.
 
Back
Top Bottom