The Icebreaker
Platinum Member
- Apr 24, 2014
- 34,212
- 103,112
Mkuu JF siku hizi ilishavamiwa na watu wa ajabu sana!Asante ndugu mi nashangaa watu wanaleta udini hata ingeandikwa 50% kwa 50% siyo sawa na pia CIA kupitia source zao wakiamua kuandika hicho kitu kwa wanavyoamini wao kwenye website zao au vitabu vyao hiyo ni shauri yao lakini kwenye page ya WIKIPEDIA AMBAYO INAHUSU NCHI YETU ilibidi vitu vingi vya takwimu vitolewe na serikali yetu au viwe approved na serikali.
Mtu anakurupuka tu kucomment bila kusoma na kuelewa maudhui ya thread yenyewe!!
