Ochumeraa
JF-Expert Member
- May 18, 2015
- 4,507
- 5,736
Dah umeme ulikatika tangu jana asubuhi hadi muda huu haujarudi.
Wiki yenu moja mliyotangaza si imeshaisha? Turudishieni umeme.
Wiki yenu moja mliyotangaza si imeshaisha? Turudishieni umeme.
Kwa muda mrefu TANESCO walikuwa wanakata umeme kila mara kwa visingizio wanafanya matengenezo.
Wiki moja ambaye inaisha leo, walituahidi hautakatika.
Sasa, leo tarehe 14/09 ndio mwisho la ahadi yao ya mwisho tuone
TANESCO walisema umeme utawashwa wiki mbili za mwanzo wa mwezi huu wa Septemba, sio wiki moja kama ilivyoelezwa na mtoa mada.