TAJIRI MKUU WA MATAJIRI
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 5,898
- 10,684
Nimekuwa muongo sana tangu nikiwa mvulana. Sasa nimekuwa baba mtu mzima ila bado nadanganya hata vitu visivyo na maana najikuta nimedanganya.
Nifanyeje ili niishinde kadhia hii maaana nina aibika na kuumbuka na kudanganya huku najikuta tu tayari nimesha danganya.
Nifanyeje ili niishinde kadhia hii maaana nina aibika na kuumbuka na kudanganya huku najikuta tu tayari nimesha danganya.