TAJIRI MKUU WA MATAJIRI
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 5,947
- 10,815
Nimekuwa mwongo sana tangu nikiwa mvulana. Sasa nimekuwa baba mtu mzima ila bado nadanganya hata vitu visivyo na maana najikuta nimedanganya.
Nifanyeje ili niishinde kadhia hii... maaana nina aibika na kuumbuka na kudanganya huku najikuta tu tayari nimesha danganya
Nifanyeje ili niishinde kadhia hii... maaana nina aibika na kuumbuka na kudanganya huku najikuta tu tayari nimesha danganya