Jumakidogo
R I P
- Jul 16, 2009
- 1,851
- 417
Watu hawa ni viongozi maarufu kutokea katika kambi ya upinzani. Wengi wetu tumekuwa na matarajio kuwa, upinzani ndio utaleta ukombozi wa kweli katika nchi hii. Je, kati ya majogoo hawa wawili, ni nani yuko juu zaidi ya mwenzake? Ni yupi anayeza kuthubutu kuwika mjini kwa sauti kuliko mwenzake? Ni yupi kati yao atakayeweza kuwaletea maendeleo watanzania haraka zaidi ya mwenzake? Je kwa upande wa CV zao, ni nani zaidi? Tusemezane kwa amani.