Clarity
JF-Expert Member
- Jul 6, 2010
- 1,586
- 2,088
Tatizo kubwa ni ELIMU ya wanausalama wetu,Wanachotakiwa kufanya kwa mtu ambaye ni mgeni AMA hajui Kama kuna katazo la namna ni kutoa elimu kwa mtu waliyemkamata na c wao kutoza faini ukikamatwa toa onyesha ushirikiano Kama watakuwa wagimu waombe upelekwe kituoni tatizo letu watanzania tunapenda shortcuts unataka kunegotiate na polisi ili iweje sheria c zipo?