Unyanyasaji wa kikabila idara ya Uhamiaji

Dr. Wansegamila

JF-Expert Member
Feb 3, 2012
2,858
7,847
Siku chache zilizopita, ilinibidi kujongea katika ofisi za uhamiaji kwa ajili ya kupata sahihi ya afisa ya uhamiaji katika fomu za kitambulisho cha utaifa (kwenye hizi fomu kuna sehemu ambayo inabidi isainiwe na uhamiaji).Kilichonikuta ndio kimenifanya niandike huu uzi.

Baada ya kufika ofisi husika na fomu zangu, swali la kwanza nililoulizwa ni, "wewe ni kabila gani"? Baada ya kumjibu yule mdada alieniuliza, kilichofuata alinikabidhi fomu nyingine ambayo ina page 9, iliyojaa maswali ambayo kiukweli yamejaa ukakasi sana;

Mfano: Mahali walipozaliwa babu na bibi yako mzaa baba (mkoa, wilaya, tarafa, kata, kijiji), Mahali walipozaliwa babu na bibi yako mzaa mama
(mkoa, wilaya, tarafa, kata, kijiji).

Mahali ambapo babu au bibi yako alifariki (mkoa,wilaya,tarafa,kata,kijiji), na maswali mengine mengi ya aina hiyo (imagine kujibu page 9 za maswali ya aina hiyo).

Lakini, kilichoni irritate zaidi, niligundua kwamba si waombaji wote wanajazishwa hii fomu (wengine wanasainiwa kirahisi kabisa bila kujaza chochote); na kinacho determine wakujazishe au wasikujazishe hilo lifomu ni *kabila* lako!! Kuna makabila fulani ukienda pale ukitaja, wanakusainia bila tashwishwi nyingi, ila kuna makabila mengine ndo process inakua ndefu mno (nimetumia muda wa siku mbili ofisi ya uhamiaji kukamilisha hilo,while my other colleagues spent hardly 15 minutes for a similar purpose!!).

Fikiria unamuona mtu mnaefanya nae kazi, yeye anakuja na fomu zake, anaulizwa kabila anataja kabila fulani, anaambiwa lete fomu zako, anasainiwa... Huku wewe umekaa pembeni unahangaika kujaza page 9 za maswali yanayotia ukakasi, hadi wenzako wanakushangaa kwani wewe vipi? Mbona sisi hatujasumbuliwa?
Siku ya kwanza, nimejaza hilo lifomu lao nikaambiwa niliache, nirudi next day saa tatu asubuhi (hapo nilitumia masaa 6 ofisi za uhamiaji).

Nimerudi siku ya pili, nikaambiwa subiri, baada kama ya nusu saa yule mdada akatoka. Nilisubiri kwa zaidi ya masaa sita tena, ambapo ndipo niliweza kukamilisha mchakato huo na wakanisainia fomu yangu hatimaye (namshukuru sana yule kijana alienihudumia siku ya pili, alikua ni mstaarabu na mnyenyekevu sana na hata yeye alionyesha kushangazwa kwa nini nimezungushwa vile).

Nimesikitika sana, kwamba kumbe sisi makabila mengine ni second grade citizens ndani ya nchi yetu!!
Kwa nini kuwe na preferential treatment (huduma tofauti) kwa raia wanaohitaji huduma ya uhamiaji, ambayo iko based kulingana na kabila??
 
Siku chache zilizopita, ilinibidi kujongea katika ofisi za uhamiaji kwa ajili ya kupata sahihi ya afisa ya uhamiaji katika fomu za kitambulisho cha utaifa (kwenye hizi fomu kuna sehemu ambayo inabidi isainiwe na uhamiaji).Kilichonikuta ndio kimenifanya niandike huu uzi.
Baada ya kufika ofisi husika na fomu zangu, swali la kwanza nililoulizwa ni, "wewe ni kabila gani"? Baada ya kumjibu yule mdada alieniuliza, kilichofuata alinikabidhi fomu nyingine ambayo ina page 9, iliyojaa maswali ambayo kiukweli yamejaa ukakasi sana; Mfano: Mahali walipozaliwa babu na bibi yako mzaa baba (mkoa,wilaya,tarafa,kata,kijiji), Mahali walipozaliwa babu na bibi yako mzaa mama (mkoa,wilaya,tarafa,kata,kijiji). Mahali ambapo babu au bibi yako alifariki (mkoa,wilaya,tarafa,kata,kijiji), na maswali mengine mengi ya aina hiyo (imagine kujibu page 9 za maswali ya aina hiyo).

Lakini, kilichoni irritate zaidi, niligundua kwamba si waombaji wote wanajazishwa hii fomu (wengine wanasainiwa kirahisi kabisa bila kujaza chochote); na kinacho determine wakujazishe au wasikujazishe hilo lifomu ni *kabila* lako!! Kuna makabila fulani ukienda pale ukitaja, wanakusainia bila tashwishwi nyingi, ila kuna makabila mengine ndo process inakua ndefu mno (nimetumia muda wa siku mbili ofisi ya uhamiaji kukamilisha hilo,while my other colleagues spent hardly 15 minutes for a similar purpose!!). Fikiria unamuona mtu mnaefanya nae kazi, yeye anakuja na fomu zake, anaulizwa kabila anataja kabila fulani, anaambiwa lete fomu zako, anasainiwa... Huku wewe umekaa pembeni unahangaika kujaza page 9 za maswali yanayotia ukakasi, hadi wenzako wanakushangaa kwani wewe vipi? Mbona sisi hatujasumbuliwa?
Siku ya kwanza, nimejaza hilo lifomu lao nikaambiwa niliache, nirudi next day saa tatu asubuhi (hapo nilitumia masaa 6 ofisi za uhamiaji). Nimerudi siku ya pili, nikaambiwa subiri, baada kama ya nusu saa yule mdada akatoka. Nilisubiri kwa zaidi ya masaa sita tena, ambapo ndipo niliweza kukamilisha mchakato huo na wakanisainia fomu yangu hatimaye (namshukuru sana yule kijana alienihudumia siku ya pili, alikua ni mstaarabu na mnyenyekevu sana na hata yeye alionyesha kushangazwa kwa nini nimezungushwa vile).
Nimesikitika sana, kwamba kumbe sisi makabila mengine ni second grade citizens ndani ya nchi yetu!!
Kwa nini kuwe na preferential treatment (huduma tofauti) kwa raia wanaohitaji huduma ya uhamiaji, ambayo iko based kulingana na kabila??
kwani umgeni wewe hii nchi kwa sasa inmpasuko
 
Siku chache zilizopita, ilinibidi kujongea katika ofisi za uhamiaji kwa ajili ya kupata sahihi ya afisa ya uhamiaji katika fomu za kitambulisho cha utaifa (kwenye hizi fomu kuna sehemu ambayo inabidi isainiwe na uhamiaji).Kilichonikuta ndio kimenifanya niandike huu uzi.
Baada ya kufika ofisi husika na fomu zangu, swali la kwanza nililoulizwa ni, "wewe ni kabila gani"? Baada ya kumjibu yule mdada alieniuliza, kilichofuata alinikabidhi fomu nyingine ambayo ina page 9, iliyojaa maswali ambayo kiukweli yamejaa ukakasi sana; Mfano: Mahali walipozaliwa babu na bibi yako mzaa baba (mkoa,wilaya,tarafa,kata,kijiji), Mahali walipozaliwa babu na bibi yako mzaa mama (mkoa,wilaya,tarafa,kata,kijiji). Mahali ambapo babu au bibi yako alifariki (mkoa,wilaya,tarafa,kata,kijiji), na maswali mengine mengi ya aina hiyo (imagine kujibu page 9 za maswali ya aina hiyo).

Lakini, kilichoni irritate zaidi, niligundua kwamba si waombaji wote wanajazishwa hii fomu (wengine wanasainiwa kirahisi kabisa bila kujaza chochote); na kinacho determine wakujazishe au wasikujazishe hilo lifomu ni *kabila* lako!! Kuna makabila fulani ukienda pale ukitaja, wanakusainia bila tashwishwi nyingi, ila kuna makabila mengine ndo process inakua ndefu mno (nimetumia muda wa siku mbili ofisi ya uhamiaji kukamilisha hilo,while my other colleagues spent hardly 15 minutes for a similar purpose!!). Fikiria unamuona mtu mnaefanya nae kazi, yeye anakuja na fomu zake, anaulizwa kabila anataja kabila fulani, anaambiwa lete fomu zako, anasainiwa... Huku wewe umekaa pembeni unahangaika kujaza page 9 za maswali yanayotia ukakasi, hadi wenzako wanakushangaa kwani wewe vipi? Mbona sisi hatujasumbuliwa?
Siku ya kwanza, nimejaza hilo lifomu lao nikaambiwa niliache, nirudi next day saa tatu asubuhi (hapo nilitumia masaa 6 ofisi za uhamiaji). Nimerudi siku ya pili, nikaambiwa subiri, baada kama ya nusu saa yule mdada akatoka. Nilisubiri kwa zaidi ya masaa sita tena, ambapo ndipo niliweza kukamilisha mchakato huo na wakanisainia fomu yangu hatimaye (namshukuru sana yule kijana alienihudumia siku ya pili, alikua ni mstaarabu na mnyenyekevu sana na hata yeye alionyesha kushangazwa kwa nini nimezungushwa vile).
Nimesikitika sana, kwamba kumbe sisi makabila mengine ni second grade citizens ndani ya nchi yetu!!
Kwa nini kuwe na preferential treatment (huduma tofauti) kwa raia wanaohitaji huduma ya uhamiaji, ambayo iko based kulingana na kabila??
Utakuwa umefanana na bahutu,batusi,bamanyema nakadhalika.Nilijaribu kuuliza na jibu lake ni kwamba kuna maeneo ambayo yana muingiliano sana na nchi jirani na kwamba wakimbizi wengi hujichanganya huko na kujiita raia.Iwapo umetokea maeneo hayo unafanyiwa due diligence ndo maana unaulizwa maswali mengi ili ikitokea siku kuna tatizo basi wanajua waanzie wapi.Ila somehow inakera na uzuri wa hio ni kwamba watoto wako watakuwa salama huko mbeleni.
 
sasa mzaramo au makabila ya moro, dodoma, singida, etc uwe na wasi wasi nae wa nini?? makabila ya mpakani kama ngara, kigoma lazima uwe na umakini nayo
Hakuna kitu kitakacho justify unachojaribu kusema.
Kwa hiyo msukuma yeye ni Mtanzania zaidi kuliko mrangi kwa mfano??
Kuna shida katika hilo.
Halafu, hivi mtu ambae ana proof ya kuzaliwa Tanzania, ana proof ya kusoma Tanzania kuanzia primary hadi chuo kkkuu ana proof ya kuajiriwa ndani ya Tanzania kwa zaidi ya miaka 7; halafu una wasiwasi nae?? Kama utatilia mashaka Utanzania wa mtu wa aina hii, that speaks more of the weakness of immigration department than the legality of citizenship of that person!! FRESHMAN
 
Utakuwa umefanana na bahutu,batusi,bamanyema nakadhalika.Nilijaribu kuuliza na jibu lake ni kwamba kuna maeneo ambayo yana muingiliano sana na nchi jirani na kwamba wakimbizi wengi hujichanganya huko na kujiita raia.Iwapo umetokea maeneo hayo unafanyiwa due diligence ndo maana unaulizwa maswali mengi ili ikitokea siku kuna tatizo basi wanajua waanzie wapi.Ila somehow inakera na uzuri wa hio ni kwamba watoto wako watakuwa salama huko mbeleni.
Makabila ya Dodoma yana muingiliano gani na nchi jirani?
Kati ya makabila ya Dodoma na Wasukuma kwa mfano, wapi wana muingiliano sana na nchi jirani?
Mkimbizi anazaliwa nchini kwako, anasoma nchini kwako, anafanya kazi nchini kwako kote huko akijitambulisha kama raia wa Tanzania (for more than 30yrs). Hapo nani atakua na shida?? Yeye mkimbizi au idara ya nchi yenu ya uhamiaji??
ubongokid
 
Makabila ya Dodoma yana muingiliano gani na nchi jirani?
Kati ya makabila ya Dodoma na Wasukuma kwa mfano, wapi wana muingiliano sana na nchi jirani?
Mkimbizi anazaliwa nchini kwako, anasoma nchini kwako, anafanya kazi nchini kwako kote huko akijitambulisha kama raia wa Tanzania (for more than 30yrs). Hapo nani atakua na shida?? Yeye mkimbizi au idara ya nchi yenu ha uhamiaji??
He basi itakuwa wewe ni mgogo aliyefanania wahutu,au watusi na watu wa pande hizo ndo maana hebu fuatilia zaidi kuhusu muonekano wako na muonekano wa watu wa kabila lako just in case ila kama ni ubaguzi basi ni aibu kwa idara ya uhamiaji
 
He basi itakuwa wewe ni mgogo aliyefanania wahutu,au watusi na watu wa pande hizo ndo maana hebu fuatilia zaidi kuhusu muonekano wako na muonekano wa watu wa kabila lako just in case ila kama ni ubaguzi basi ni aibu kwa idara ya uhamiaji
Hahahahahahahaha!! umenichekesha mkuu.
Nitafuatilia hilo la muonekano. By the way, mimi nimezaliwa Dar es Salaam, nimekulia Dar es Salaam,mambo ya makabila kwangu ni none issues!! Last time nimefika kijijini alikozaliwa mzee it was back in early 2000s.
Mtoto wangu ni mchanganyiko wa makabila mannne, hata ukimuuliza yeye ni kabila gani kwa kweli atabaki anakushangaa tuu!!
Anyways, to each its own!!!
ubongokid
 
Mimi bwana nilipotaka kufuatilia kitambulisho cha taifa nilienda site ya Brela wana barua yao ya Express nika print nikaenda nayo nikajazo fomu,nikaenda serikali ya mtaa na tai pamoja na briefcase nikakaa kwenye fulani nikatoa laptop nikawa naangalia JF akanijazia na kugonga muhuri fasta nilipofika pale NIDA nikamwambia binti mmoja mrembo kuna kampuni mpya naingia ubia na wazungu so nahitaji kwenda Brela in less than a month nikawa na national ID
 
Swala hili lilishamtokea Mtu wangu wa Karibu kabisa...na hii ilikuwa anaenda ku renew passport kwa mara ya 3.... yaani ameshakuwa na passport zaidi ya miaka 20 . Miaka mingine ya nyuma hakuwahi kuulizwa hayo maswali.

Ilimchukua muda kidogo kuweza kupata habari za Babu Na Bibi wa upande wa Baba, maana walikuwa hawana kumbukumbu zaidi ya kukumbuka mahali pa kuzaliwa.

Kilicho mnusuru ni kwamba wazazi wake wote wawili walikuwa na Passport hivyo wakaenda kutafuta mafaili yao na kuangalia wao walijaza nini kipindi wanatafuta hizo pasi, miaka ya 80 huko.

Watuweke wazi mapema hayo makabila ili tujiandae kukusanya hizo habari za vizazi 3 nyuma.
 
Mimi bwana nilipotaka kufuatilia kitambulisho cha taifa nilienda site ya Brela wana barua yao ya Express nika print nikaenda nayo nikajazo fomu,nikaenda serikali ya mtaa na tai pamoja na briefcase nikakaa kwenye fulani nikatoa laptop nikawa naangalia JF akanijazia na kugonga muhuri fasta nilipofika pale NIDA nikamwambia binti mmoja mrembo kuna kampuni mpya naingia ubia na wazungu so nahitaji kwenda Brela in less than a month nikawa na national ID
Hongera sana mkuu,chakato wako ulikua simple sana!!
 
Swala hili lilishamtokea Mtu wangu wa Karibu kabisa...na hii ilikuwa anaenda ku renew passport kwa mara ya 3.... yaani ameshakuwa na passport zaidi ya miaka 20 . Miaka mingine ya nyuma hakuwahi kuulizwa hayo maswali.

Ilimchukua muda kidogo kuweza kupata habari za Babu Na Bibi wa upande wa Baba, maana walikuwa hawana kumbukumbu zaidi ya kukumbuka mahali pa kuzaliwa.

Kilicho mnusuru ni kwamba wazazi wake wote wawili walikuwa na Passport hivyo wakaenda kutafuta mafaili yao na kuangalia wao walijaza nini kipindi wanatafuta hizo pasi, miaka ya 80 huko.

Watuweke wazi mapema hayo makabila ili tujiandae kukusanya hizo habari za vizazi 3 nyuma.
Na kweli,bora wangeweka wazi kabisa hayo makabila ambayo yanahitaji mchakato mrefu zaidi wa kuhakiki uraia wao.
Lakini, hilo jambo haliwekwi wazi sana kwa sababu na wao wanajua imekaa kibaguzi baguzi sana!! Na pia sio utaratibu ambao uko rasmi sana (kwa nilivyogundua);maana kuna jamaa yangu ainiambia kuwa pia na yeye alipewa hilo lifomu, ila kabla hajaanza kujaza, akatokea mtu anaefanya ofisi hiyo ambae anafahamiana nae akamnyang'anya hilo lifomu, akamwambia achana nalo usilijaze... Na akasainiwa vizuri tu fomu zake za NIDA, akasepa!! bbade
 
Swala hili lilishamtokea Mtu wangu wa Karibu kabisa...na hii ilikuwa anaenda ku renew passport kwa mara ya 3.... yaani ameshakuwa na passport zaidi ya miaka 20 . Miaka mingine ya nyuma hakuwahi kuulizwa hayo maswali.

Ilimchukua muda kidogo kuweza kupata habari za Babu Na Bibi wa upande wa Baba, maana walikuwa hawana kumbukumbu zaidi ya kukumbuka mahali pa kuzaliwa.

Kilicho mnusuru ni kwamba wazazi wake wote wawili walikuwa na Passport hivyo wakaenda kutafuta mafaili yao na kuangalia wao walijaza nini kipindi wanatafuta hizo pasi, miaka ya 80 huko.

Watuweke wazi mapema hayo makabila ili tujiandae kukusanya hizo habari za vizazi 3 nyuma.


Mwaka juzi walisababisha niahirishe zoezi la kitambulisho cha taifa, nimeenda pale wanigongee muhuri waniambia nilete uthibitisho wa mzazi wangu kwamba ni mtanzania, nikawaambia hii passport hapa ambayo nyie wenyewe mmeitoa inasema mie raia wa wapi?
Niliishia kuahirisha zoezi.

Mwaka huu baada ya kuona siwezi kurenew passport bila kitambulisho nikaenda tena, wakaniletea habari zile zile, nashukuru kuna jamaa muelewa nilipompa kesi yangu alinipeleka sehem wakaniuliza maswali mawili matatu wakanigongea muhuri.
 
Back
Top Bottom