NGULI
JF-Expert Member
- Mar 31, 2008
- 4,803
- 637
i hope unatambua matumizi sahihi ya question marks...!
talking of milaaz and all that!well....AMINI UNAVYO AMINI!
kuhusu kisukari...!well,kuna so many scientific explanations ambazo hatuhitaji kuweka hapa,ndo maana nikasema 70%,ndo maana nikazungumzia pressha..!so far AMINI VYOVYOTE
Mkuu ulivyoandika inaashiria una hasira hapa.
Bolded nafikiri unaweza kutofautisha kati ya IMANI na KUJADILI
Matumizi ya ???? nafahamu ila niliweka msisitizo na hio ni style ya mtu ya kuandika kwa mfano wewe unapenda sana kutumia ........... so najua pia unajua matumizi yake.