kama huna taarifa na jambo kaa kimya mwenye taarifa kamili ataiweka! kiherehere cha nn??Wakuu kuna mdau kanitonu
ya kuwa Tundu anawasilisha/amewasilisha pepa kwenye mkutano wa mawakili huko Arusha. Kwa wadau walioko huko tunaomba mtujuze.
kama huna taarifa na jambo kaa kimya mwenye taarifa kamili ataiweka! kiherehere cha nn??
Mbona watu wanachangia. Wewe ndio una kiherehere. Tulia utapakatwa bure.
sibishani na watu wenye mtindio wa ubongo kama wewe! stupid bastard! ulizaliwa stend wewe!!
Nafikiri ulitaka kusema "kuiwasilisha"Mkuutano mkuu wa chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) umeanza rasmi leo katika ukumbi wa AICC. Habari ambazo sijazizibitisha ni kuwa Mhe Tundu Lissu alikuwa na mada ya kuiwakilisha.
Habari kutoka ndani ya kikao hicho zinasema TL alitumia nafasi hiyo kuendelea kuthibitisha kuwa kuna majaji wameteuliwa lakini hawana sifa za kushika wadhifa huo. Na alifikia kusema kuwa yupo jaji hana sifa hata ya kuwa Hakimu wa kawaida.
Wanasheria/waandishi mnaohudhuria tuwekeni sawa kuhusu kauli za TL kuhusu hilo.
Wakuu kuna mdau kanitonu
ya kuwa Tundu anawasilisha/amewasilisha pepa kwenye mkutano wa mawakili huko Arusha. Kwa wadau walioko huko tunaomba mtujuze.
Halafu huyu ndiye Werema anasema anatumia kichwa kufugia nywele badala ya kufikiri? nadhani kauli hiyo angejifikia yeye mwenyewe kama AG. Sisi tumetambua nani anatumia kichwa kufuga nyweleyes mkuu,amerudia yale ya majaji vihiyo na safari hii amekuja na Ruling iliyotolewa siku 4 zilizopita na Jaji ambaye yumo ndani ya kikao kama kielelezo.amesema kuna majaji hawana sifa hata ya kuwa ma Rm au Registrar lakin wanapeana tuu.Mawakili wameshangili hadi noma,yan haijawah tokea..akawaambia na mawakili wasiwe kimya na kuwa wanalalama chini chini.amesema pia muungano haupo sababu katiba ya zanzibar inamtambua Rais ambaye ana madaraka sawa na wa muungano na kwamba hata Zanzibar wamesha declare kuikataa Court of Appeal kwa masuala flan flan..ila kimsingi jamaa ame shine bwana
Du! kazi ipo. Dogo anajiamini sana. Hivi anajua kuwa kinga ua kibunge hai apply hapo?
kuna wakil alikuwa nae kwenye meza ya lunch leo..akamwambia amedhamiria kupeleka hoja ya kumu impeach Rais Bunge lijalo kwamaana alichokifanya ni kuvunja katiba ya nchi kwa makusudi alisema anajua spika ataipinga hiyo hoja ila media itakuwa imeshaipata,anasema wiki mbili zijazo ana kesi mbele ya mmoja kati ya Majaji aliowataja vihiyo,anasema atamkataa Jaji huyo kwa jaji kiongoz kwa kumwambia kuwa ampangie Jaji mwingine kwa maana kuwa yule aliyepangiwa sio Jaji.Amesema ye ndo ameshaanza mwiko kurudi nyuma.
kuna wakil alikuwa nae kwenye meza ya lunch leo..akamwambia amedhamiria kupeleka hoja ya kumu impeach Rais Bunge lijalo kwamaana alichokifanya ni kuvunja katiba ya nchi kwa makusudi alisema anajua spika ataipinga hiyo hoja ila media itakuwa imeshaipata,anasema wiki mbili zijazo ana kesi mbele ya mmoja kati ya Majaji aliowataja vihiyo,anasema atamkataa Jaji huyo kwa jaji kiongoz kwa kumwambia kuwa ampangie Jaji mwingine kwa maana kuwa yule aliyepangiwa sio Jaji.Amesema ye ndo ameshaanza mwiko kurudi nyuma.
na ameshajua kwamba atakosa ushirikiano (the strongest man z.... who stands alone) lakin ujumbe utakuwa umefika kuhusu kwa nin ameongelea kwenye mkutano wa TLS sidhan kama wewe ameshafuatilia nakujua nin hasa huwa kinafanyika inshort nenda kweny website yaTLS ukafute ujinga..nadhan umeshatambua kati yako na Tundu Lisu nan KIHEREHERE..Sijui kama ataweza kupaya ishirikoano. Lakini kwa nini asipeleke malalmiko yake kwenye tume ya utumishi ya Mahakama? Otherwise naona madai haya yako kisiasa zaidi yakisukumwa na nguvu. ya kiherehere.