- Thread starter
- #21
Kwa nafasi yake a.k.a wewe, ana option nzuri na zenye manufaa kwa taifa hili kuliko aliyo opt. Angepeleka mswada au hoja binafsi ya kuomba ufanyike uchinguzi wa kibunge hasa ikizangatiwa kuwa tuhuma zake ni serious na hazikupaswa kushugulikiwa kama anavyotaka. Otherwise ni Kiherehere cha kutaka sifana ameshajua kwamba atakosa ushirikiano (the strongest man z.... who stands alone) lakin ujumbe utakuwa umefika kuhusu kwa nin ameongelea kwenye mkutano wa TLS sidhan kama wewe ameshafuatilia nakujua nin hasa huwa kinafanyika inshort nenda kweny website yaTLS ukafute ujinga..nadhan umeshatambua kati yako na Tundu Lisu nan KIHEREHERE..