University Task Force - Wasomi wanaomuunga mkono Dr. Magufuli

University Task Force - Wasomi wanaomuunga mkono Dr. Magufuli

47pro

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2015
Posts
1,204
Reaction score
333
University Task Force
UNIVERSITY TASK FORCE(UTF)
Hawa ni Wasomi wanaomuunga mkono Dr. John Pombe Magufuli pamoja na ngazi zote za uongozi( ubunge na udiwani)

: Ni wasomi wa kitanzania wanaojitambua,kujielewa na walioamua kukiunga mkono chama chao (CCM) katika mbio za Urais, Ubunge na Udiwani ili kuleta maendeleo na kuondoa changamoto za wananchi katika Taifa letu.

: UTF ina mikakati ya kuwafikia watanzania wa rika zote wanaostahili kupiga kura, kufanya maamuzi sahihi ya kuchagua kiongozi/ viongozi bora,waadilifu,waaminifu, watenda haki,watetea wanyonge na wenye kujali maendeleo ya nchi na kuifikisha nchi yetu pahala panapostahili kimaendeleo.

: Wasomi wote watanzania ruksa kujiunga nasi bila kujali ngazi ya elimu,itikati ya chama chako ila uwe unamuunga mkono Dr. John Pombe Magufuli kwa namna yoyote ile maana wengine wako vyama tofauti lakin wanajua uchapakazi,uadilifu,uteteaji wanyonge wa Magufuli na wenye imani na Dr. John Pombe Magufuli.

: Ukitaka kujiunga nasi,Tu follow Instagram page University_task_forceTwitter page University Task Force@UniversityTF Email.universitytaskforce@gmail.com, WhatSapp +255 655248822
 
Wasomi gani nyie,sisi tunataka mabadiliko nyie bado mnakumbatia chama lililozeeka poor you guys
 
Jamani WaTz hatutaki mabadiliko sisi tunataka Maendeleo bila kujali yataletwa na nan.
 
Moja ya tabia za wasomi ni kufikiria mabadiliko chanya, sasa nyinyi ni wasomi gani mnaoshabikia ukale ? Si wasomi nyinyi ni njaa kali poleni sana
 
Hawa sio wasomi na wasaka TONGE tu.

Huu usanii wa wasomi uchwara hawa ulikuwa unakomeshwa na rasimu ya Warioba ambapo watu wangepata kazi ziwe DC, RC PS, through merits sio kujipendekeza kwa RAIS. Watu wangeafanya application and interviewed before offered the job.

Ndiyo maana mimi nitaipigia kura UKAWA kwasababu wameniahidi kuniletea katiba mpya inayotokana na maoni yetu.

Siwezi kumpigia kura Magufuli kwasababu anaunga mkono katiba pendekezwa iliyochakachuliwa na ma-CCM
 
University Task Force
UNIVERSITY TASK FORCE(UTF)


Shida yenu vijana wa Lumumba mmeharibu vyuo vingi nchi hii kwa siasa zenu mbovu na ya kisanii. Umaskini wa vijana wengi mavyuoni mmeutumia kama mtaji wenu na mwisho wa siku wameweka fikra na upeo wao rehani kwa wanasiasa mufilisi kama CCM.

Lakini ilikuharibu kabisa mmewanunua wanataalumu wengine hadi aibu-Profesa mzima anasimama na kushabikia Serikali huku akipongeza eti serikali hii ya CCM niimara huku hata mtoto wa Darasa la saba anaona iliyoshindwa wazi wazi.

KAZI YA KWANZA YA UKAWA NI KUWACHOMOA HAWA WANATAALUMA NJAA-ILI VIJANA WETU WAFIKIRI NA KUPATA CHANGAMOTO YA AKILI.
 
Wasomi ndio mliotufikisha hapa.

Hatumtaki mtu aliyelitia hasara taifa..fidia makandarasi,samaki sheli...

Lowassa atosha.
 
Wasomi mav.i nyie! Yaani na usomi wenu bado mnashabikia chama kilichooza? Si ajabu miongoni mwa hawa wasomi kuna waliokosa mkopo, shame on you guys!!
 
University Task Force
UNIVERSITY TASK FORCE(UTF)
Hawa ni Wasomi wanaomuunga mkono Dr. John Pombe Magufuli pamoja na ngazi zote za uongozi( ubunge na udiwani)

: Ni wasomi wa kitanzania wanaojitambua,kujielewa na walioamua kukiunga mkono chama chao (CCM) katika mbio za Urais, Ubunge na Udiwani ili kuleta maendeleo na kuondoa changamoto za wananchi katika Taifa letu.

: UTF ina mikakati ya kuwafikia watanzania wa rika zote wanaostahili kupiga kura, kufanya maamuzi sahihi ya kuchagua kiongozi/ viongozi bora,waadilifu,waaminifu, watenda haki,watetea wanyonge na wenye kujali maendeleo ya nchi na kuifikisha nchi yetu pahala panapostahili kimaendeleo.

: Wasomi wote watanzania ruksa kujiunga nasi bila kujali ngazi ya elimu,itikati ya chama chako ila uwe unamuunga mkono Dr. John Pombe Magufuli kwa namna yoyote ile maana wengine wako vyama tofauti lakin wanajua uchapakazi,uadilifu,uteteaji wanyonge wa Magufuli na wenye imani na Dr. John Pombe Magufuli.

: Ukitaka kujiunga nasi,Tu follow Instagram page University_task_forceTwitter page University Task Force@UniversityTF Email.universitytaskforce@gmail.com, WhatSapp +255 655248822

Wanaunga mkono hata mambo kama haya?
 
Eti wasomi,vipi boom lishaacha kuchelewa siku hizi huko?
 
  1. Kuahidi ni jambo moja kutekeleza ni jambo lingine
  2. Serikali haiwaletei wananchi Katiba mpya ila inasimamia uaandaaji wa Katiba mpya
  3. Bunge lijalo litakuwa na wabunge wengi wapya, watakakuja na mawazo mapya. Inatarajiwa baadhi ya mambo yaliyokuwemo kenye rasimu ya pili ya Katiba mpya yatarejeshwa na mengine yaliyoingizwa na Samwel 6 yataondolewa hii ni kwa chama chochote kitachoshinda.
    Hawa sio wasomi na wasaka TONGE tu.
Huu usanii wa wasomi uchwara hawa ulikuwa unakomeshwa na rasimu ya Warioba ambapo watu wangepata kazi ziwe DC, RC PS, through merits sio kujipendekeza kwa RAIS. Watu wangeafanya application and interviewed before offered the job.

Ndiyo maana mimi nitaipigia kura UKAWA kwasababu wameniahidi kuniletea katiba mpya inayotokana na maoni yetu.

Siwezi kumpigia kura Magufuli kwasababu anaunga mkono katiba pendekezwa iliyochakachuliwa na ma-CCM
 
...kaeni na malord wenu sisi mtuache na ulofa wetu tutamuunga mkono lowassa hata kwa upumbavu wetu...
 
Wapo watakaowaelewa tutawafuata huko ktk mitandao mingine na wapo watakaotukana humu ila watakuja kwa wakati wao baada ya kutafakari. Wasomi wazuri wanaanzisha idea km mlivyofanya sio malofa wenye kutukana humu. Big up. Mmetisha tutawafuata hukohuko mlikosema tuongee kistaarabu ikibidi wekeni hili tangazo gazeti, redioni na ktk TV.
 
Back
Top Bottom