Junior. Cux
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 5,319
- 3,797
watu wengine wanakela sio siri... kesho kutwa msipopata mikopo mtakuja kulia humu, hizo elfu kumi kumi kwa siku zinausha kesho kutwa... miaka mitano mnapauka mtaani
Wasomi gani nyie,sisi tunataka mabadiliko nyie bado mnakumbatia chama lililozeeka poor you guys
Hata sisi Walalahoi Task Force (WTF) tuko pamoja na magufuli...tuna inani nad