Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 28,787
- 58,398
Kata ya wapi ? 😁😁😁😁😁🤣Udom chuo cha kata
Kata ya wapi ? 😁😁😁😁😁🤣Udom chuo cha kata
Udom chuo tegemeo kwa watu wa kata ,ukiondoa apo no lifeKata ya wapi ? 😁😁😁😁😁🤣
Acha zarau wew😢😢😢🤜Udom chuo tegemeo kwa watu wa kata ,ukiondoa apo no life
Unafata nn huko? Au yale Ya kukaa CoED unasoma TIBA lazima uote kigimbiTatizo UDOM college mmeziweka mbalimbali mnoo. Inachosha sana kutembea.
Mbona chuo kipo vizuri, wewe umekutana na shida gani mahali hapa??
Kuna lecturers wajinga sana hicho chuo n hivi n chuo cha serikali hakuna hta sehemu ya kuwashtaki.Mbona chuo kipo vizuri, wewe umekutana na shida gani mahali hapa??
Nje kiaje sasaKuna lecturers wajinga sana hicho chuo n hivi n chuo cha serikali hakuna hta sehemu ya kuwashtaki.
Ushauri mtu kama umejipanga bora kwenda kusoma nje.
Ukweli mchungu Poor BrainAcha zarau wew😢😢😢🤜
Unapajua huku wewe 🤣🤣📌Ukweli mchungu Poor Brain
Haha sasajeUnapajua huku wewe 🤣🤣📌
Sa hivi upo wapi..?Haha sasaje
Npo site kata simuSa hivi upo wapi..?
Ndo nini...?Nataka kuacha kupostpone
Shida yake nini... ? Ushabiki tuu
Yaani kwa hapa ajatutendea haki...Mod Kwa kuto I sticky hii thread ni ishara gani
Ndg yetu max cheki hilo