Jama Mkuu wa chuo hicho amejibu maswali yote ambayo yalikuwa yanaulizwa na juu ya ufadhili wa chuo hiki, Ila ni Pesa za Watanzania na hivyo kuhusu walimu ni janga la kitaifa maana hata baadhi hata vyuo vingine navyo havina walimu
Kwani kuna ajabu gani wakihama na kwenda kufundisha huko?? siyo ajabu ila wote kwa ajili ya kusaidia Tanzania kuliko kubaki kama kilivyo bila ya walimu wa kutosha
Hilo ni jambo la msingi sana maana hata kule UDOM hakuna walimu, ila ni jambo baya sana katika Taifa kuwa na allocation za resources kama hivi ilivyo leo, tunaona walimu wengi sana wanaambiwa kwenda UDOM na mara ya Kwanza walikuwa SUA, Mzumbe na UDSM na vyuo vya umma vingine ila cha kufanya ni kuwa na Joint flying lecturesKwanini usiwatengeneze hao walimu wako? Kwanini lisifanyike kwa utaratibu kuliko linavyofanyika sasa kwa kasi hadi lile pengo la walimu wanaotoka kwenye vyuo vikongwe linaonekana waziwazi?
Kwa majibu yako yalivyo sijui mara ya mwisho ni lini kuvitembelea vyuo vyetu, ila nafikiri ni miaka mingi sana kabla ya UDOM kuanzishwa.
Hilo ni jambo la msingi sana maana hata kule UDOM hakuna walimu, ila ni jambo baya sana katika Taifa kuwa na allocation za resources kama hivi ilivyo leo, tunaona walimu wengi sana wanaambiwa kwenda UDOM na mara ya Kwanza walikuwa SUA, Mzumbe na UDSM na vyuo vya umma vingine ila cha kufanya ni kuwa na Joint flying lectures
Hata sasa serikali inafanya hivyo na pia nafikiria kuwa UDOM inapswa kufanya hivyowewe ni msomi ndugu yangu, vyuo vyote vilipoanza havikuchua kwa kuwarubuni walimu kutoka vyuo mvingine pale UDSM kulikuwa na walimu nwa mwanzo kutoka Nigeria, Ghana, Ujerumani, India na kwingineko lakini kulikuwa na program maalum ya kutengeneza walimu
sasa iweje unaanzisha chuo na kwenda kuua vyuo vingine ili mradi chuo kipya kisimame, kama walimu ni wa shida kwa nini wasitafutwe maforeignerz kuja kufundisha kama MWalimu JK alivyofanya mwanzo
Angalau chuo kimejengwa.....sitaki kuona invoice yake maana furaha yote inaweza kutoweka....
Kweli Dodoma kuna ukame na pia wanafunzi wengi wa huko wanasema kuwa wao wanapata maji kwa siku mara 2 hivi sasa hapa ndio kuna kazi kubwa sana katika ujenzi wakesi unajua dodoma ukame, no water
Wewe Si mbongo kama huelewi hata nani aliyeanza na plan ya hicho chuo. SI Kikwete ni Mkapa Ndo aliye initiate hiyo project.