Kigogo
JF-Expert Member
- Dec 14, 2007
- 20,508
- 6,199
Utakuwa na upungufu wa akili kama utashindwa kuappreciate hilo.,Kikwete ana mapungufu yake lakini kwa hili la kuchukua initiative ya kuanzisha chuo hiki ni lazima tumpe sifa zake,tusiwe wanafiki na wachoyo wa fadhila kiasi hiki,jiulize zaidi ya Nyerere mbona hakuna rais mwingine alieanzisha chuo kikuu tena from the ground zaidi ya kikwete.,sio mwanachama wa CCM wala shabiki wa JK lakini hilo halinifanyi nishindwe kusema kuwa hiyo ni ahadi pekee ya JK iliyotimia.
hivi unalipwa nshilingi ngapi kwa kuanza kampeni mapema!!!mbona houngelei daraja alilosema atalijenga mto kilombero within 2 years za madaraka yake...