University of Dar es Salaam(UDSM) Alumni - Special thread

University of Dar es Salaam(UDSM) Alumni - Special thread

Hatari sana nakumbuka enzi izo tunaenda computers room wadau hawawezi ata kushika mouse wanainyanyua juu hawaweki chini😂😂😂😂😂😂😂

Mtu unaogopa hata kubonyeza keyboard ukidhani utaharibu computer
 
Nilipangiwa hall 5 floor ya 9 nilikaa kwa week moja badae nikauza chumba nikahamia Savei.

Maswala ya kupandisha ngazi na ndoo za maji nilishindwa.
 
Nilipangiwa hall 5 floor ya 9 nilikaa kwa week moja badae nikauza chumba nikahamia Savei.

Maswala ya kupandisha ngazi na ndoo za maji nilishindwa.

Bora ungepangiwa hall 2 at least kuna lift , mimi campus ustaarabu wa vyoo ndio ulinishinda kabisa aisee vyoo vya kukaa alafu vichafu sijawahi ata kulala siku 1 campus 😂😂😂😂😂
 
Aah nothing much to share ila nakumbuka mgomo ule wa 2008/09 ulitufanya tufukuzwe cho kizima alafu tukafanyiwa usajili upya pale geti maji. Wapi Steven Owawa, Ocheng yule mganda na slogans zake za kumpinga Museven, Mwachibya rais wa chuo na wanaharakati wengine wa SOLIDARITY FOREVER.
By the way ndo nilikuwa first year Bcom that time ya mgomo.
 
Siku moja tuko ndani ya lift hall five umeme ukakatika kitu kama flow ya 7 hivi, vijana wacha tudate tuliokuwa ndani ya lift. Thank God baada ya kama ten minutes hivi umeme ulirudi na lift iliposimama flow ya 8 nikashuka maana sikuhitaji kupanda nayo tena hadi flow ya tisa nilipokuwa nakaa lol.!
 
Mi siku ya kwanza kupewa assignment mwalimu alisema anataka iwe kwenye soft copy yaan nusu darasa wakadhani soft copy ni makaratasi laini,mi nilikuwa nikifukuzia mzigo naualika hillpark lazima utaingia kingi tu,najifanya ndio viwanja vyangu kumbe wapi

Hahahaha umenifanya nicheke kwa nguvu eti karatasi laini mlitisha sana wakuu
Hillpark ushuani palikua pazuri pa kukamatia watoto akitia maguu pale hachomoki 😊😊😊😊😊

Bila kusahau UDASA, sisi tulikuwa tunapaita YUDASA, ukipeleka mtoto wa kike pale lazima akuheshimu. Boom likikata unarudi zako manzese kula maandazi.

Mimi series nimezijulia Chuo, enzi hizo mnaenda kuangalia prison break chumbani kwa mshkj mwenye desktop. Computer zenyewe zilikuwa zimejaa tutorial tu a.k.a pilau (movie za ngono)

Watu tulikuwa tunachukulia boom dirishani karibu na ofisi za auxiliary police pembeni ya faculty of business siku hizi Ndio UDBS

Hivi siku hizi pepa za matriculation zipo? Ulikuwa huingii Chuo bila kufanya hizo pepa

Kuna mtu alikuwa anaitwa Pasiense Mlowe alikuwa anagombania uraisi wa DARUSO akichuana na Mganda anaitwa Odong Odwaa, huo mpambano asikwambie mtu ulikuwa kiboko. Utawala wanamtaka Pasiense wakati wanafunzi wanamtaka Odong. Pasiense alikuwa na Msemo wake mmoja "tofautisha Kati ya hamu na shauku"

Niachie hapo Ila UDSM is the best, pamoja na vioja vyote Ila nili enjoy maana Ndio kilikuwa Chuo cha ndoto zangu. Kusoma UD enzi hizo ni title mtaani.
 
Bila kusahau UDASA, sisi tulikuwa tunapaita YUDASA, ukipeleka mtoto wa kike pale lazima akuheshimu. Boom likikata unarudi zako manzese kula maandazi.

Mimi series nimezijulia Chuo, enzi hizo mnaenda kuangalia prison break chumbani kwa mshkj mwenye desktop. Computer zenyewe zilikuwa zimejaa tutorial tu a.k.a pilau (movie za ngono)

Watu tulikuwa tunachukulia boom dirishani karibu na ofisi za auxiliary police pembeni ya faculty of business siku hizi Ndio UDBS

Hivi siku hizi pepa za matriculation zipo? Ulikuwa huingii Chuo bila kufanya hizo pepa

Kuna mtu alikuwa anaitwa Pasiense Mlowe alikuwa anagombania uraisi wa DARUSO akichuana na Mganda anaitwa Odong Odwaa, huo mpambano asikwambie mtu ulikuwa kiboko. Utawala wanamtaka Pasiense wakati wanafunzi wanamtaka Odong. Pasiense alikuwa na Msemo wake mmoja "tofautisha Kati ya hamu na shauku"

Niachie hapo Ila UDSM is the best, pamoja na vioja vyote Ila nili enjoy maana Ndio kilikuwa Chuo cha ndoto zangu. Kusoma UD enzi hizo ni title mtaani.

Mkuu pale kwenye kale kadirisha ka police bado wanatolea boom la kwanza kila mwaka.

Mambo ya pilau kama kawaida aisee unakuta mtu laptop ina folders za uvunguni jina la pilau movies kazipa title ya koz fulani mfano DS102...kumbe ni porn
 
Aah nothing much to share ila nakumbuka mgomo ule wa 2008/09 ulitufanya tufukuzwe cho kizima alafu tukafanyiwa usajili upya pale geti maji. Wapi Steven Owawa, Ocheng yule mganda na slogans zake za kumpinga Museven, Mwachibya rais wa chuo na wanaharakati wengine wa SOLIDARITY FOREVER.
By the way ndo nilikuwa first year Bcom that time ya mgomo.

Pole ulikuwa first year
 
Nna meengi ya kukumbuka UDSM,mazur na mabaya,yakufirahisha na kuhuzunisha,ila ukweli siku niliyomaliza mtihani wangu wa mwisho wa kumaliza UNDERGRADUATE PALE THEATRE 2 NILIFURAHI SANA MPAKA NIKAWA NATOKWA NA MACHOZI,SITASAHAU HII KITU ASILANI,NDO ILIKUA GRADUATION YANGU HIYO
 
Mimi nlikuwa hapo 2006-2009 hadi namaliza chuo tuliwahi kugoma Mara kumi na moja...Mara maji hakuna, Mara boom limechelewa, Mara odong odwaa, kakatwa kugombea urais Wa chuo kiss mganda duhhhh.
 
Mkuu pale kwenye kale kadirisha ka police bado wanatolea boom la kwanza kila mwaka.

Mambo ya pilau kama kawaida aisee unakuta mtu laptop ina folders za uvunguni jina la pilau movies kazipa title ya koz fulani mfano DS102...kumbe ni porn

Hahaha nimekumbuka mengi aisee. Pilau ikikuwa inaandikwa kama vile delete this folder lakini bado watu wanazipata.
Kuna mambo ya kupigwa EXILE -roommate anamleta demu na kumgonga mle room kwenu wakati huo mmefungiwa njee mnasubiria amalize.
 
Hahaha nimekumbuka mengi aisee. Pilau ikikuwa inaandikwa kama vile delete this folder lakini bado watu wanazipata.
Kuna mambo ya kupigwa EXILE -roommate anamleta demu na kumgonga mle room kwenu wakati huo mmefungiwa njee mnasubiria amalize.

Huo mtindo ulikuwa zaidi pale hall 5 na hall two...

Daa miaka mitatu tumekula exile za kutosha saana.
 
Back
Top Bottom