Ingia kwenye accountKCMUCo vipi ? Bado ?
Ingia kwenye accountKCMUCo vipi ? Bado ?
No any system news !Ingia kwenye account
No any system news !
Duuuh!Kuna waliopata feedback tangu jana
Kuna mtu kaliwa kichwa bila shaka maana dashboard ipo kimya tu hakuna feedback yoyote au kimya na chenyewe ni feedbackKuna waliopata feedback tangu jana
Kuna mtu kaliwa kichwa bila shaka maana dashboard ipo kimya tu hakuna feedback yoyote au kimya na chenyewe ni feedback
Kuna mtu kaliwa kichwa bila shaka maana dashboard ipo kimya tu hakuna feedback yoyote au kimya na chenyewe ni feedback
Hahaha!! kimya pia jibu mkuu,walopata wote wameshapewa feedback
Kuna mtu kaliwa kichwa bila shaka maana dashboard ipo kimya tu hakuna feedback yoyote au kimya na chenyewe ni feedback
Tumshukuru Mungu.
Hii style ya ovyo sanaSema hii style yao ya sasa ni ya kikuda sana kwanini wasituambie tu kama tumekosa
Wangekuwa wanataarifu tu watu sio kupiga kimyaHii style ya ovyo sana
Mkuu nawezaje Ku confirm nikiwa nimechaguliwa chuo zaidi ya kimoja?Hapo kusubiri second round tu,bila shaka chance ya kupata ni kubwa wengi watakuwa wamesha confirm hivyo wataachia nafasi
Kuna sehem ya ku confirm kwny ac yakoMkuu nawezaje Ku confirm nikiwa nimechaguliwa chuo zaidi ya kimoja?
USHAURI TAFADHARI
3
Kozi ipi bora kati ya
1 BS IN EDUCATION
2 B BISNESS WITH EDUCATION
3 BS IN BIOLOGY
fata kile roho yako inakipenda.USHAURI TAFADHARI
Kozi ipi bora kati ya
1 BS IN EDUCATION
2 B BISNESS WITH EDUCATION
3 BS IN BIOLOGY
Imenitokea saivi mkuuSema hii style yao ya sasa ni ya kikuda sana kwanini wasituambie tu kama tumekosa