asikate tamaa kuna second roundMuda mwingine kuchaguliwa ni bahat ..kuna ndugu yangu amechagua vyuo 3 na amekosa vyote ...ni advance leaver
Sio masikini Mkuu, nimechaguliwa UDOM na UDSM, nimeitema UDSM.Mi nimepata tayari... UDOM chuo chetu sisi maskini
Hongera mkuu, tutaonana hapoSio masikini Mkuu, nimechaguliwa UDOM na UDSM, nimeitema UDSM.
UDOM my best university

Mbona tayari mkuuJamani leo si ndio 2nd ROUND y aapplication inafunguliwa ila mpaka muda huu naona naona bado mifumo haijatoa ruksa ya kufanya application, vipi kwa ninyi wenzangu
chuo gani tayari? sio kwamba ni zile zile account zetu au tunalipia tena mkuu??Mbona tayari mkuu
wakuu nimeingia UDM. UDSM. MUHAS. KCMC. ST FRANCIS naona bado mifumo yao hainipi ruhusa ya kufanya application ya second round nisaidieni wakuu, kwenu uko vipi?
huo ujumbe umeandikwaje mkuu,UDSM - Nenda My selection utakuta ujumbe pale
Re applyhuo ujumbe umeandikwaje mkuu,
Mkuu 'pisi' Kali zote zinapatikana UdomSio masikini Mkuu, nimechaguliwa UDOM na UDSM, nimeitema UDSM.
UDOM my best university
Kwa halii hii kuna kusoma kweliMkuu 'pisi' Kali zote zinapatikana Udom
hahah kama nakuona venye unakua unarudi kusapuaMkuu 'pisi' Kali zote zinapatikana Udom
Sasa tatizo wanahitaji mpka pesa tenaArekebishe details zake vizuri haswa majina yanaonekana ni tofauti au kakosea
Jamaaani watoto wa siku hizi hawaaa!!;kasahau password ya kuingia account yake ya TCU ili aangalie vyuo na kozi alizoomba ili ajue kama amepata ama laaa!
Tufanyeje wakuu
achana nae huyo kenge atajua na maisha yake.Jamaaani watoto wa siku hizi hawaaa!!;kasahau password ya kuingia account yake ya TCU ili aangalie vyuo na kozi alizoomba ili ajue kama amepata ama laaa!
Tufanyeje wakuu