plan z
JF-Expert Member
- Jun 10, 2019
- 1,395
- 1,439
Hi Guys!
Katika tafiti tulizokaririshwa na kuaminishwa, ni mengi tumeambiwa na wanasayansi wanaodai wametoka nje ya dunia. Mojawapo ya mambo tuliyoambiwa ni kwamba kuna miaka Billions Light years ndipo uvuke universe yetu.
Kama tunavyofahamu speed ya mwanga ni 3 × 10^8 m/s. Na ninaposema one Light year namaanisha usafiri kwa hiyo speed kwa mda wa mwaka mzima, huo umbali utakaoenda ndio tunasema one light year, nadhani unapata picha ni umbali kiasi gani itachukuwa kwa takribani 93 Billion light years ukubwa wa universe yetu, maana yake tangu uumbaji kuna sehemu mwanga haujafika bado unasafiri.
Telescope za NASA au SpaceX zimefanikiwa kuona maeneo mengi sana na ya many light years ndo ufike. Itakuwaje zenyewe zione hayo maeneo kwa mda mfupi wakati bado mwanga still unasafiri, na tunajua tangu uumbaji, piga ua garagaza hiyo miaka 93 Billion light years hatuna. Hapo ndipo nilipogundua kumbe Universe yetu ni ndogo sana. Au unawezekana speed of light ni kubwa zaidi ya tunavyofikiri.
Pia nikatafakari nikaona kwamba mambo ya Time travel ni nadharia tu kwa mambo haya mawili yafuatayo.
1. Kama universe yetu ni ndogo basi hatutaweza kwenda future au past.
2. Kama speed of light ni kubwa kuliko tunavyodhani, basi Time Travel Mashine bado haijakidhi vigezo vya kutupeleka future au past.
Katika tafiti tulizokaririshwa na kuaminishwa, ni mengi tumeambiwa na wanasayansi wanaodai wametoka nje ya dunia. Mojawapo ya mambo tuliyoambiwa ni kwamba kuna miaka Billions Light years ndipo uvuke universe yetu.
Kama tunavyofahamu speed ya mwanga ni 3 × 10^8 m/s. Na ninaposema one Light year namaanisha usafiri kwa hiyo speed kwa mda wa mwaka mzima, huo umbali utakaoenda ndio tunasema one light year, nadhani unapata picha ni umbali kiasi gani itachukuwa kwa takribani 93 Billion light years ukubwa wa universe yetu, maana yake tangu uumbaji kuna sehemu mwanga haujafika bado unasafiri.
Telescope za NASA au SpaceX zimefanikiwa kuona maeneo mengi sana na ya many light years ndo ufike. Itakuwaje zenyewe zione hayo maeneo kwa mda mfupi wakati bado mwanga still unasafiri, na tunajua tangu uumbaji, piga ua garagaza hiyo miaka 93 Billion light years hatuna. Hapo ndipo nilipogundua kumbe Universe yetu ni ndogo sana. Au unawezekana speed of light ni kubwa zaidi ya tunavyofikiri.
Pia nikatafakari nikaona kwamba mambo ya Time travel ni nadharia tu kwa mambo haya mawili yafuatayo.
1. Kama universe yetu ni ndogo basi hatutaweza kwenda future au past.
2. Kama speed of light ni kubwa kuliko tunavyodhani, basi Time Travel Mashine bado haijakidhi vigezo vya kutupeleka future au past.
