TULIA WEWE HAKUNA MKATE MGUMU MBELE YA CHAI, UNGELIWA TU WANAUME NI KAMA MAJI, HAWAKWEPEKINisingekaaa nikalala na mwanaume
Alaaaa.Kutamani wake wa watu
Hujachelewa kuwa unavotaka Kuwait,mpaka unawaza hivo jua akili ipo kwenye utayari wakufika huko. Tia jitihada !!Muombe Mungu!Utafanikiwa!Binafsi ningeacha kubeti na kuwekeza kiasi cha pesa katika mambo ya msingi kama ujasiriamali
Pili ningebadilisha mfumo wangu wa uzingatiaji wa afya...
Pole.Ningeenda kubadirisha tarehe 10 June isiwepo.. ili niwe si exist duniani
This is so inspiring..Hujachelewa kuwa unavotaka Kuwait,mpaka unawaza hivo jua akili ipo kwenye utayari wakufika huko .Tia jitihada !!Muombe Mungu!Utafanikiwa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Tizi..mazoezi mazitoGenye zako ungezihifadhi wapi?