Ungependekeza Bilion 600 za Dreamliner zitumikee wapi?

Ungependekeza Bilion 600 za Dreamliner zitumikee wapi?

Ningependekeza fedha bilioni 600 zitumike katika hili

1. Kuboresha miundombinu ya Dar kwa kujenga barabara za mwendokasi nyingine katika sehem zenye msongamano.

. AU
2. Ningetumia fedha hizo kukopesha vijana wenye mpango mkakati wa biashara kuweza kujiajiri wenyewe.

AU
3. Ningesambaza umeme katika sehem ambazo umeme haujafika

AU
4. Ningesambaza huduma za Maji katika sehem kame

. AU
5. Ningeimarisha shule za msingi kwa kukarabati miundombinu.

Wewe unapendekeza nini?
Akifanya haya hawezi kuiba na akiiba tutajua...amebuni mradi wa ndege kwa kufanya manunuzi mwenyewe tena analipa cash kwa sababu kwa mtindo huo ataweza kuiba kirahisi, Magufuli ni mwizi mzoefu waulize TANROADS!
 
sifa ya kujiunga chuo hana huo mkopo wanini?

Mnh so,walionyimwa ni wale wasio na sifa za kujiunga na chuo?

at one time unasema hamna tatizo la kukosa mikopo,second time una admit kuna walioomba wakakosa sababu hawakua na sifa,,,

Mkuu unasimamia lipi?
 
Mnh so,walionyimwa ni wale wasio na sifa za kujiunga na chuo?

at one time unasema hamna tatizo la kukosa mikopo,second time una admit kuna walioomba wakakosa sababu hawakua na sifa,,,

Mkuu unasimamia lipi?
hujaelewa nini? kama unasifa yakupata mkopo unapata na kama hauna sifa hautapata, fedha zipo, ni sawa na kukopa bank kama hukopesheki hawakupi hatakama fedha zipo.
 
Angeongeza na kununua Airbus A380,kwa uhakika wa biashara ya utalii kwani ndio chanzo kikubwa cha $$$$$$$
 
Mkuu Jogi unaelewa lengo la hizi ndege?. Utalii wakati mwingine huwa hauna huruma kama maisha yanavyotudanganyana.

Si suala la roho mbaya, hawa majirani zetu wa kaskazini ya mkoa wa Kilimanjaro hawajawahi kuwa na ruhuma. Inatulazimu tujipange ili katika siku zijazo watambue kwamba sisi sio wajinga kama walivyokuwa wakidhania kwa miaka mingi.
Wachaga wamekukosea nini mkuu!!?
 
Majengo ya shule ili watoto wapate nafasi ya kwenda kupata elimu.

Sio 6B kununulia usafiri wa Mbuzi.

Gadeeeem
 
Mkuu Jogi unaelewa lengo la hizi ndege?. Utalii wakati mwingine huwa hauna huruma kama maisha yanavyotudanganyana.

Si suala la roho mbaya, hawa majirani zetu wa kaskazini ya mkoa wa Kilimanjaro hawajawahi kuwa na ruhuma. Inatulazimu tujipange ili katika siku zijazo watambue kwamba sisi sio wajinga kama walivyokuwa wakidhania kwa miaka mingi.
Mkuu hao watu wa kaskazini wamekukosea nini...?????

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom