Hata ukipendekeza ni sawa unaoga kwenye tope
Mtu hasikii wala hashauriki hiyo midege ndio furaha yake
akikaa akisimama
akilala akiamka
akila akitembea
anawaza Dreamliner kama vile anaiona pale KIA
inapaa utamwambia eti kuna watz huku wanashida na maji!!??
Siku zote hawa watu ambao huwa wanajidai eti
katoka familia sijui ya mkulima huwa wanabadilika
na hawasaidii chochote.
ananunua ndege ambazo watanzania baadhi wenye maisha ya juu ndo watapanda
lakini si mtanzania wa maisha ya chini ambae hata panadol
inamshinda kununua,.
Hata hivyo hawa watanzania wa chini wakati mwingine
hawana akili anasumbuka dawa, maji shidah lakini
Ikifika wakati wa kampeni ndio utaona ujinga wake,
Na mimi nasema acha waisome namba.
Wewe Magu katununulie Dreamliner allah...!!!.