Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,320
- 17,823
Sikuwa na haja ya kusoma post yako kwa sababu tayari heading ilikuwa ishanipiga BAN. Ningekutwa naisoma afu nikaitwa shoga ningemlaumu nani?
Ungejilaumu wewe mwenyewe afu ungeshangaa idadi ya 'wanaume" ambao wangekusalandia
Sijui ningesemaje nyumbani wallhah