Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 45,120
- 111,789
NakaziaOgopa sana mtu mwenye mahusiano na mpenzi wake wa zamani kabla yako! Nasisitiza ogopa sana.
Hutokaa uweze kuwaachanisha, hapo wewe ndio uachane nao.
NakaziaOgopa sana mtu mwenye mahusiano na mpenzi wake wa zamani kabla yako! Nasisitiza ogopa sana.
Hutokaa uweze kuwaachanisha, hapo wewe ndio uachane nao.
Bado jamaa anaangalia kwenye VARHuyo ni STRAIGHT RED CARD..
Kuna mwamba nikianza kulia tu ananipiga mate na Dudu inamsimama ...anataka....yaan mtu unahuzuni yeye anadindisha🤨Pia kuwa makini na machozi ya huyo mwanamke
Hiyo haina haja ya VAR.Bado jamaa anaangalia kwenye VAR
Mkuu unayajua tangu 2020, leo 2024.
Ulikuwa unangojea mualiko rasmi kufunguka?




Yaan kuna watu wamekosa huruma🤣🤣 badala anibembeleze yeye anataka kunizagamua
kuna errors kwenye mahusiano, uchumba au ndoa hubainika na hazifutiki moyoni na akilini kamwe in life time, its whether uishi nazo ziendelee kukutafuna milele, au ufute ukurasa mzima uanze kuandika upya kwa Amani.Nimeishi naye tangu mwaka 2017 baada ya 2014 kumzalisha mtoto nikaamua nimchukue tujenge familia 2023 tukapata mtoto wa tatu nakuja kugundua mwenzangu anamahusiano nje na mchumba wake wa awali kabla sijamchukua.
Uchunguzi binafsi nikabaini Wana zaidi ya miaka mitatu wapo kwenye mahusiano hayo
Mi nipo wilayani kusaka maokoto wakati yeye yupo mjini tulipojenga.
Baada ya dharau kuzionesha nikamwambia najua chanzo Cha ujinga wake, nikamtajia anayempa jeuri, nikamueleza nayajua mahusiano yake tangu mwaka 2020, najua anapokutana na huyo mtu wake, nikamuonesha ushahid wote.
Aliduwaa akabaki mdomo wazi, akaomba sana msamaha, akadai hatorudia
Nimerudi kazini sijaongea lolote, sijamwambia nimemsamehe, sijampa nafasi ya kujua nini nawaza.
Nimemruhusu aendelee na mtu wake maana hainidhuru mie ila roho inauma.
Mpaka Sasa anadai anaumwa moyo unamkimbia maana hajui nini nitafanya na uamuzi gani nitachukua.
Je, nipo sahihi?
Kama ni wewe ungefanya nini?
Mawazo yako ni muhimu
Umeamua kuishi naye tangia 2017 baada ya 2014 kumzalisha mtoto, "mwaka 2023 tukapata mtoto wa tatu," mbona hujasema mtoto wa pili alipatikana lini na ni wako au wa huyo katika kipindi mlichopoteana 2014-2017. Kwani hicho ulichokiskip kinamchango mkubwa sana kwenye ishu yako. Kama mtoto wa pili ni wake na anakaa na nyie,umesema tulipata mtot wa tatu , basi ujue hao kukutana haikwepeki.Nafikiri endelea na maamuzi yako, muache aendelee na jamaa yake, she will never changes na hiyo itakuhunt through out your life. Be free man.Nimeishi naye tangu mwaka 2017 baada ya 2014 kumzalisha mtoto nikaamua nimchukue tujenge familia 2023 tukapata mtoto wa tatu nakuja kugundua mwenzangu anamahusiano nje na mchumba wake wa awali kabla sijamchukua.
Uchunguzi binafsi nikabaini Wana zaidi ya miaka mitatu wapo kwenye mahusiano hayo
Mi nipo wilayani kusaka maokoto wakati yeye yupo mjini tulipojenga.
Baada ya dharau kuzionesha nikamwambia najua chanzo Cha ujinga wake, nikamtajia anayempa jeuri, nikamueleza nayajua mahusiano yake tangu mwaka 2020, najua anapokutana na huyo mtu wake, nikamuonesha ushahid wote.
Aliduwaa akabaki mdomo wazi, akaomba sana msamaha, akadai hatorudia
Nimerudi kazini sijaongea lolote, sijamwambia nimemsamehe, sijampa nafasi ya kujua nini nawaza.
Nimemruhusu aendelee na mtu wake maana hainidhuru mie ila roho inauma.
Mpaka Sasa anadai anaumwa moyo unamkimbia maana hajui nini nitafanya na uamuzi gani nitachukua.
Je, nipo sahihi?
Kama ni wewe ungefanya nini?
Mawazo yako ni muhimu
Huu ndo ukweli mchungu.. uzi uishie hapaOgopa sana mtu mwenye mahusiano na mpenzi wake wa zamani kabla yako! Nasisitiza ogopa sana.
Hutokaa uweze kuwaachanisha, hapo wewe ndio uachane nao.
Kwahio Bila kukamatwa alikuwa hajui kama ni kosa..!!Miaka mi4..?Amekiri kosa, ameomba msamaha, ameapa hatorudia unangoja nini kumsamehe mlee watoto wenu?
Samehe saba mara sabini
Fact…!!Fact…Ogopa sana mtu mwenye mahusiano na mpenzi wake wa zamani kabla yako! Nasisitiza ogopa sana.
Hutokaa uweze kuwaachanisha, hapo wewe ndio uachane nao.
Embu toa kauli yenye uamuzi acha kujinunisha kama wanawake wa uswaziNimeishi naye tangu mwaka 2017 baada ya 2014 kumzalisha mtoto nikaamua nimchukue tujenge familia 2023 tukapata mtoto wa tatu nakuja kugundua mwenzangu anamahusiano nje na mchumba wake wa awali kabla sijamchukua.
Uchunguzi binafsi nikabaini Wana zaidi ya miaka mitatu wapo kwenye mahusiano hayo
Mi nipo wilayani kusaka maokoto wakati yeye yupo mjini tulipojenga.
Baada ya dharau kuzionesha nikamwambia najua chanzo Cha ujinga wake, nikamtajia anayempa jeuri, nikamueleza nayajua mahusiano yake tangu mwaka 2020, najua anapokutana na huyo mtu wake, nikamuonesha ushahid wote.
Aliduwaa akabaki mdomo wazi, akaomba sana msamaha, akadai hatorudia
Nimerudi kazini sijaongea lolote, sijamwambia nimemsamehe, sijampa nafasi ya kujua nini nawaza.
Nimemruhusu aendelee na mtu wake maana hainidhuru mie ila roho inauma.
Mpaka Sasa anadai anaumwa moyo unamkimbia maana hajui nini nitafanya na uamuzi gani nitachukua.
Je, nipo sahihi?
Kama ni wewe ungefanya nini?
Mawazo yako ni muhimu
🤓Yaan kuna watu wamekosa huruma🤣🤣 badala anibembeleze yeye anataka kunizagamua