Ungekuwa wewe ungefanyaje?

Ungekuwa wewe ungefanyaje?

indundidotcom

JF-Expert Member
Joined
Mar 4, 2017
Posts
235
Reaction score
231
Nimeishi naye tangu mwaka 2017 baada ya 2014 kumzalisha mtoto nikaamua nimchukue tujenge familia 2023 tukapata mtoto wa tatu nakuja kugundua mwenzangu anamahusiano nje na mchumba wake wa awali kabla sijamchukua.

Uchunguzi binafsi nikabaini Wana zaidi ya miaka mitatu wapo kwenye mahusiano hayo
Mi nipo wilayani kusaka maokoto wakati yeye yupo mjini tulipojenga.

Baada ya dharau kuzionesha nikamwambia najua chanzo Cha ujinga wake, nikamtajia anayempa jeuri, nikamueleza nayajua mahusiano yake tangu mwaka 2020, najua anapokutana na huyo mtu wake, nikamuonesha ushahid wote.

Aliduwaa akabaki mdomo wazi, akaomba sana msamaha, akadai hatorudia

Nimerudi kazini sijaongea lolote, sijamwambia nimemsamehe, sijampa nafasi ya kujua nini nawaza.

Nimemruhusu aendelee na mtu wake maana hainidhuru mie ila roho inauma.

Mpaka Sasa anadai anaumwa moyo unamkimbia maana hajui nini nitafanya na uamuzi gani nitachukua.

Je, nipo sahihi?

Kama ni wewe ungefanya nini?

Mawazo yako ni muhimu
 
Kachek dna ya mtoto wa tatu ..sio wako mkuu

Pia kuwa makini na machozi ya huyo mwanamke atapiga tena kitu kizito hapo kausha tu

Ila ukimsamehe jua next time atacheat tu....

Tena jamaa ndo kama kakuzidi kipato jiandae kisaikolojia au kama jamaa ana tia mambo vizuur kuliko wewe pia jiandae
 
Nimeishi naye tangu mwaka 2017 baada ya 2014 kumzalisha mtoto nikaamua nimchukue tujenge familia 2023 tukapata mtoto wa tatu nakuja kugundua mwenzangu anamahusiano nje na mchumba wake wa awali kabla sijamchukua.

Uchunguzi binafsi nikabaini Wana zaidi ya miaka mitatu wapo kwenye mahusiano hayo
Mi nipo wilayani kusaka maokoto wakati yeye yupo mjini tulipojenga.

Baada ya dharau kuzionesha nikamwambia najua chanzo Cha ujinga wake, nikamtajia anayempa jeuri, nikamueleza nayajua mahusiano yake tangu mwaka 2020, najua anapokutana na huyo mtu wake, nikamuonesha ushahid wote.

Aliduwaa akabaki mdomo wazi, akaomba sana msamaha, akadai hatorudia

Nimerudi kazini sijaongea lolote, sijamwambia nimemsamehe, sijampa nafasi ya kujua nini nawaza.

Nimemruhusu aendelee na mtu wake maana hainidhuru mie ila roho inauma.

Mpaka Sasa anadai anaumwa moyo unamkimbia maana hajui nini nitafanya na uamuzi gani nitachukua.

Je, nipo sahihi?

Kama ni wewe ungefanya nini?

Mawazo yako ni muhimu
Sumu haionjwi na mkuki haupigwi konzi! Kama unayapenda bado maisha yako! Please run...!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kachek dna ya mtoto wa tatu ..sio wako mkuu

Pia kuwa makini na machozi ya huyo mwanamke atapiga tena kitu kizito hapo kausha tu

Ila ukimsamehe jua next time atacheat tu....

Tena jamaa ndo kama kakuzidi kipato jiandae kisaikolojia au kama jamaa ana tia mambo vizuur kuliko wewe pia jiandae
Noted Mkuu
Mind opened
 
Nimeishi naye tangu mwaka 2017 baada ya 2014 kumzalisha mtoto nikaamua nimchukue tujenge familia 2023 tukapata mtoto wa tatu nakuja kugundua mwenzangu anamahusiano nje na mchumba wake wa awali kabla sijamchukua.

Uchunguzi binafsi nikabaini Wana zaidi ya miaka mitatu wapo kwenye mahusiano hayo
Mi nipo wilayani kusaka maokoto wakati yeye yupo mjini tulipojenga.

Baada ya dharau kuzionesha nikamwambia najua chanzo Cha ujinga wake, nikamtajia anayempa jeuri, nikamueleza nayajua mahusiano yake tangu mwaka 2020, najua anapokutana na huyo mtu wake, nikamuonesha ushahid wote.

Aliduwaa akabaki mdomo wazi, akaomba sana msamaha, akadai hatorudia

Nimerudi kazini sijaongea lolote, sijamwambia nimemsamehe, sijampa nafasi ya kujua nini nawaza.

Nimemruhusu aendelee na mtu wake maana hainidhuru mie ila roho inauma.

Mpaka Sasa anadai anaumwa moyo unamkimbia maana hajui nini nitafanya na uamuzi gani nitachukua.

Je, nipo sahihi?

Kama ni wewe ungefanya nini?

Mawazo yako ni muhimu
Hivi unajua usaliti ni capital offense.

Wewe umekubali kukaa ndani na mtu aliefanya kosa ambalo adhabu yake ni kupigwa mawe hadi kufa?

Chukua hatua, usaliti ni tabia.
 
Mh bro una moyo mgumu sana. Nakushauri kapime DNA huyo mwanao wa mwisho kujiridhisha kwanza ili kupunguza maumivu ya moyo. Pili shirikisha wazee ili utemane nae maana keshakosa sifa za kuwa mama wa mjengo wako sio mbaya akibakia kuwa mzazi mwenzako tu.
 
Nimeishi naye tangu mwaka 2017 baada ya 2014 kumzalisha mtoto nikaamua nimchukue tujenge familia 2023 tukapata mtoto wa tatu nakuja kugundua mwenzangu anamahusiano nje na mchumba wake wa awali kabla sijamchukua.

Uchunguzi binafsi nikabaini Wana zaidi ya miaka mitatu wapo kwenye mahusiano hayo
Mi nipo wilayani kusaka maokoto wakati yeye yupo mjini tulipojenga.

Baada ya dharau kuzionesha nikamwambia najua chanzo Cha ujinga wake, nikamtajia anayempa jeuri, nikamueleza nayajua mahusiano yake tangu mwaka 2020, najua anapokutana na huyo mtu wake, nikamuonesha ushahid wote.

Aliduwaa akabaki mdomo wazi, akaomba sana msamaha, akadai hatorudia

Nimerudi kazini sijaongea lolote, sijamwambia nimemsamehe, sijampa nafasi ya kujua nini nawaza.

Nimemruhusu aendelee na mtu wake maana hainidhuru mie ila roho inauma.

Mpaka Sasa anadai anaumwa moyo unamkimbia maana hajui nini nitafanya na uamuzi gani nitachukua.

Je, nipo sahihi?

Kama ni wewe ungefanya nini?

Mawazo yako ni muhimu
Upo sahihi sana......
 
No matter how big the tears are, trust me she wil do it again.
Women cheat kwa hisia tena kali tu.
Utakaposamehe ndo atakudharau kabisa coz anajua wazi kwake hupindui.
Lakini mapenzi hayashauriki, kaubebe msalaba wako, lakini ujue kutoka huko yombo dovya hadi golgota safari ni ndefu sana..
Kila la shida, no samahani, la kheri
 
Wanawake Akiyavurunda Ukayatibua
Wanasingizia kuumwa, Utasikia Moyo unaenda Mbio, mara misuli ya Damu inauma, nakosa nguvu, Ooh nikiondoka mtunze mtoto.., Daadeki Mwambie Sawa.
Maana Ukijaa tuu hapa umekwisha, Utageuka mbembelezaji tena..

Mwanamke akizingua Anajiweka kwenye kundi la wanyonge,
Akiwa na shida anaji switch kua mwenye haki kama mke,
Akijiona anajitosheleza anajiswitch kua feminist,
Akijihisi anakuzidi Anakua Kichwa/mbabe,
Yote hayo uki match anakudharau.

Mzee baba baki straight, usidanganywe na rangi rangi, hio na makeup ya nafsi zao tuu,

Mkiwa Safi muoneshe Upendo haswa...
Akizingua Mzingue haswa haswa.
No in-between
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom