indundidotcom
JF-Expert Member
- Mar 4, 2017
- 235
- 231
Nimeishi naye tangu mwaka 2017 baada ya 2014 kumzalisha mtoto nikaamua nimchukue tujenge familia 2023 tukapata mtoto wa tatu nakuja kugundua mwenzangu anamahusiano nje na mchumba wake wa awali kabla sijamchukua.
Uchunguzi binafsi nikabaini Wana zaidi ya miaka mitatu wapo kwenye mahusiano hayo
Mi nipo wilayani kusaka maokoto wakati yeye yupo mjini tulipojenga.
Baada ya dharau kuzionesha nikamwambia najua chanzo Cha ujinga wake, nikamtajia anayempa jeuri, nikamueleza nayajua mahusiano yake tangu mwaka 2020, najua anapokutana na huyo mtu wake, nikamuonesha ushahid wote.
Aliduwaa akabaki mdomo wazi, akaomba sana msamaha, akadai hatorudia
Nimerudi kazini sijaongea lolote, sijamwambia nimemsamehe, sijampa nafasi ya kujua nini nawaza.
Nimemruhusu aendelee na mtu wake maana hainidhuru mie ila roho inauma.
Mpaka Sasa anadai anaumwa moyo unamkimbia maana hajui nini nitafanya na uamuzi gani nitachukua.
Je, nipo sahihi?
Kama ni wewe ungefanya nini?
Mawazo yako ni muhimu
Uchunguzi binafsi nikabaini Wana zaidi ya miaka mitatu wapo kwenye mahusiano hayo
Mi nipo wilayani kusaka maokoto wakati yeye yupo mjini tulipojenga.
Baada ya dharau kuzionesha nikamwambia najua chanzo Cha ujinga wake, nikamtajia anayempa jeuri, nikamueleza nayajua mahusiano yake tangu mwaka 2020, najua anapokutana na huyo mtu wake, nikamuonesha ushahid wote.
Aliduwaa akabaki mdomo wazi, akaomba sana msamaha, akadai hatorudia
Nimerudi kazini sijaongea lolote, sijamwambia nimemsamehe, sijampa nafasi ya kujua nini nawaza.
Nimemruhusu aendelee na mtu wake maana hainidhuru mie ila roho inauma.
Mpaka Sasa anadai anaumwa moyo unamkimbia maana hajui nini nitafanya na uamuzi gani nitachukua.
Je, nipo sahihi?
Kama ni wewe ungefanya nini?
Mawazo yako ni muhimu
