Macbook pro
JF-Expert Member
- Jul 15, 2020
- 665
- 902
Habarini za mchana huu wadau wa jamvi letu pendwabla MMU, natumaini mu wazima wa Afya na mnaendelea pilika pilika za kujitafutua ridhiki.
Asee kuandika udhibnahitaji mawazo na michangi yenu kwenye mkasa ufuatao. Mimi ni kijana wa Kiume (29) nina mpenzi wangu (She is 23). Eee bhana, huyu mpenzi anakitabia binafsi mimi sikipendi leo nimeamua kumwambia ili nisiendelee kuwa naumia au naudhika.
Mwenzangu huyu huwa anapokuwa anasifiwa na wanaume huko mtaani, atapiga simu ananiambia mara “leo babe nimesifiwa na mwanaume eti nina hips na shape nzuri”. “Mara leo hii nimeambiwa na mwanaume nimependeza sana “ Mara oooh l”eo nimeambiwa ni mzuri kweli na Mwanaume”
Sasa leo kaja kwenye normal text tukiwa tunachati vitu tofauti tofauti, sasa mara naambiwa Babe ninaubuyu, nikamwambia una ubuyu? Ngoja nikupigie nisikie huo Ubuyu. Kumpigia simu, anachokuja kuniambia, nikiwa natembea njiani kuna mwanaume kanisifia eti “dada umependeza kweli” Nikajibu sawa nikawa nimemaliza na mood yangu. Nikamuuliza mambo mengine? Ili niachane na hiyo habari. Na kwenye text ikawa hivi.
Asee kuandika udhibnahitaji mawazo na michangi yenu kwenye mkasa ufuatao. Mimi ni kijana wa Kiume (29) nina mpenzi wangu (She is 23). Eee bhana, huyu mpenzi anakitabia binafsi mimi sikipendi leo nimeamua kumwambia ili nisiendelee kuwa naumia au naudhika.
Mwenzangu huyu huwa anapokuwa anasifiwa na wanaume huko mtaani, atapiga simu ananiambia mara “leo babe nimesifiwa na mwanaume eti nina hips na shape nzuri”. “Mara leo hii nimeambiwa na mwanaume nimependeza sana “ Mara oooh l”eo nimeambiwa ni mzuri kweli na Mwanaume”
Sasa leo kaja kwenye normal text tukiwa tunachati vitu tofauti tofauti, sasa mara naambiwa Babe ninaubuyu, nikamwambia una ubuyu? Ngoja nikupigie nisikie huo Ubuyu. Kumpigia simu, anachokuja kuniambia, nikiwa natembea njiani kuna mwanaume kanisifia eti “dada umependeza kweli” Nikajibu sawa nikawa nimemaliza na mood yangu. Nikamuuliza mambo mengine? Ili niachane na hiyo habari. Na kwenye text ikawa hivi.