Macbook pro
JF-Expert Member
- Jul 15, 2020
- 665
- 902
- Thread starter
- #41
Kazi kweli kweli.
Ni balaa yani
Kazi kweli kweli.
Wanawake au mademu wazur hyo ndo kawaida yao,akil zao zote zpo kwenye hips na yako,hata mim demu wangu huwa aktoka huwa anakuja kunisimulia jins wanaume walvyo kuwa wanamshangaa na kumsifia,mwanza nilikuwa nazan syo kwel ila ishatokea kama Mara mbili nikiwa nae tunapta walipo wanaume nkawa naona vdemu vnaduwaa na wengne niliwah kuona wanapga miruz ndo nkaamin
Nilianza kuhis kitakuwa kilitengeneza dawa za mvuto kwa wanaume,maana kilkuwa na rafiki anaependa mambo ya waganga,mpaka Leo nko naeSasa ulipoamini kuwa anasifiwagwa ndio ikawaje ??