Nisingewapiga ban wanaotoa maneno makali aka matusi,ningeanza na wanaowaudhi wenzao na kusababisha watukanwe,maana bila wao kutoa pumba wasingetukanwa.
mimi ningeanzisha jukwaa la wakongwe wenye busara!hadi upata access huku lazima uwe na posts zaidi ya elfu moja kwenye jukwaa la siasa!na uwe umetimiza 3 years tangu ujiunge na Jf!hapo wale wanaobadili id kwishne!
Kabla mtuhumiwa sijapa bun ningetoa nafasi mara tatu ajitete kuliko hawa mods wanavyofanya yani wanatulazimia kita mtu kuwa na id zaidi ya kumi!
Nadhani hii ingesaidia kujua idadi halisi ya members wa jf na kuweka uwanja mpana zaidi wa majadiliano bila woga!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.