imma.one
JF-Expert Member
- Sep 10, 2011
- 542
- 37
Kuna wakati hujikuta na wakati mgumu wa kuamua kwa haraka.
Dada salma alitembelewa na Baba mkwe wake.
Asubuh ameamka anakwenda kukoga kwenye choo cha nje anamkuta Baba mkwe wake,mumewe na mwanae mdogo wa kiume,akiwa amevaa kanga mbili kifuani na kiunoni huku umbo lake likijichora kwa mbali (no 8) mtoto anamlilia mama.salma anamchukua na kumrusha rusha.
Mtoto akiwa hewani kanga zote zinavuka zinavuka wakati ndani hana hata kufuli(nguo ya ndani).
Wakati mgumu kwa Salma kumdaka mtoto au kuzuia kanga mbele ya mkwewe na mumewe.
Ni rahic kuamua ila inahitaji moyo.
Ungekuwa wewe ungefanyaje?
Dada salma alitembelewa na Baba mkwe wake.
Asubuh ameamka anakwenda kukoga kwenye choo cha nje anamkuta Baba mkwe wake,mumewe na mwanae mdogo wa kiume,akiwa amevaa kanga mbili kifuani na kiunoni huku umbo lake likijichora kwa mbali (no 8) mtoto anamlilia mama.salma anamchukua na kumrusha rusha.
Mtoto akiwa hewani kanga zote zinavuka zinavuka wakati ndani hana hata kufuli(nguo ya ndani).
Wakati mgumu kwa Salma kumdaka mtoto au kuzuia kanga mbele ya mkwewe na mumewe.
Ni rahic kuamua ila inahitaji moyo.
Ungekuwa wewe ungefanyaje?