<br />Atakujibu nakupenda mume wangu.<br />
Endelea tu na tabia zako.
Uupuuzi
<br />
<br />
Umenikumbusha wimbo wa Lady Jay Dee....mume anaungama yooote, mke anasema anampenda...
Sasa hiyo ni ndoa au circus?'
<br />wimbo mzuri sana ule....mwanamke ana mapenzi hata shetani angeogopa....'hawajui'
Uupuuzi
Haya ndiyo yanayoendelea kwenye familia zetu nyingi sana, japo hapa tunafanya kama kushangaa!
Tena pengine tunafanya mazito zaid ya haya!
Imagine vitendo kama mfano abortion tunazofanya au kusaidia kuzifanya, kufukuzisha kazi wenzetu kwa makusudi, kugombanisha ndoa za marafiki etc!
Bora huyo jamaa ameamua kuweka hadharani aliyoyafanya, nadhani amedhamiria kuyaacha jumla.
Personally nachukulia hili kama ungamo la DHATI!
NAWASILISHA.