Asante PJ kwa kusema ukweli huwa siwaelewi binadamu utafikiri huwa kuna viumbe wanatoka sayari nyingine kuja kufanya huu ushetani .
Toka lini na wewe umeanza kumtumikia?shetani siku hizi anakula pensheni tu....vijakazi na watumwa wake tuko bize tunamtumikia!
Toka lini na wewe umeanza kumtumikia?
BTW Mzima wewe Mamushka?
hahahahaAisee Meku, wewe unajitoa humo?
mie mzima natumai hujambo pia!
hahahaha
Mshiki mi hata sijui kama nimo humo? Kama maungamo yenyewe ndo ka hayo aliyoyaleta DC mh!
Haya ndiyo yanayoendelea kwenye familia zetu nyingi sana, japo hapa tunafanya kama kushangaa!
Tena pengine tunafanya mazito zaid ya haya!
Imagine vitendo kama mfano abortion tunazofanya au kusaidia kuzifanya, kufukuzisha kazi wenzetu kwa makusudi, kugombanisha ndoa za marafiki etc!
Bora huyo jamaa ameamua kuweka hadharani aliyoyafanya, nadhani amedhamiria kuyaacha jumla.
Personally nachukulia hili kama ungamo la DHATI!
NAWASILISHA.
Vipi jamaa nae akiambiwa hao watoto si wake, na mara zote alipokuwa mpirani na kwenye salon rafiki yake xx huwa anakuja kumpa raha. Na kwa ushauri tu mama akamshauri baba waendelee hivyohivyo maana maisha mazuri.
\Mkuu haya maungamo achana nayo.. Kama mtu ana shida ya kummaliza mwenzake kwa nini asitafute bunduki kabisa???
\
So you incourage infidelity or, to be precise, cheating:A S thumbs_down:
PJ, unaweza kuwa sahihi. Ila binafsi nimesema mara nyingi, na nitarudia tena na tena. Hakuna sababu/maana kusema ukweli usio na tija! Wote tunaishi kwa amani (hata kama ni feki) kwani mambo mengi ambayo yangetuumiza sana roho zetu hatuyajui.
Kuna mtu alinambia hivi..."People will hardly remember what you told them, but will never forget what you made them feel".
Ni bora mtu akae na siri zake hadi anaenda kaburini kuliko kunitibulia feelings...It is too expensive to repair such damages if at all it can possibly be repaired![/QUOTE]
yeah, chukua tano D.C, kwa nini kuumizana pasipo sababu, kama umetenda ushetani wako na mwenzio hakufahamu/hajui ni vema ufunge domo lako utubu na Mungu wako.
yeah, chukua tano D.C, kwa nini kuumizana pasipo sababu, kama umetenda ushetani wako na mwenzio hakufahamu/hajui ni vema ufunge domo lako utubu na Mungu wako.