Unga wa sembe kg 1 sasa ni tsh 1500/1600

Unga wa sembe kg 1 sasa ni tsh 1500/1600

mtotomtamuu

JF-Expert Member
Joined
Dec 4, 2016
Posts
602
Reaction score
1,464
Ndiyo bei niliyopewa na muuza duka muda mfupi uliopita,, kutoka 1200 hadi 1600 hii hali sio nzuri.

Habari wanajf. Leo nimeamua kuzungumzia hili suala la kupanda kwa bei ya unga wa mahindi au sembe, sasa hivi unga wa sembe bei yake kwa kilo 50 imefikia 64000 wakati kilo 25 imefikia 32000 kwenye maduka ya rejareja imefikia kwa kilo wanauza 1500 hadi 1600 wakati hapo awali ilikuwa 1200.

Serikali pia inatakiwa kuliangalia suala hili mapema kwakuwa kwenye bajeti waliahidi mazao ya nafaka yatashuka bei kwa kupewa ruzuku.

Pia unga wa mahindi kwa kiasi kikubwa ndio mkombozi wa watu wa chini hata hali ikiwa ngumu mtu akishindwa kula ugali basi atakunywa uji.

Naomba kuwasilisha.
 
Safi sana wacha tuinue uchumi Lkn mishahara hatupandishi n tutazidi kuwafanya muishi km mashetani
 
SERIKALI IKIINGILIA KATI BEI ITAPANDA ZAIDI BORA WAKAE KIMYA TU .YASIJE YAKATUKUTA YA SUKARI yaleee 1800-4000 MAJALIWA KAA KIMYA.
 
Ndiyo bei niliyopewa na muuza duka muda mfupi uliopita,, kutoka 1200 hadi 1600 hii hali sio nzuri.
ni mkoa gani huo lakn yawezekana coz saizi debe moja la mahindi no sh 13000 toka elf 7000 miez mitatu iliyopita
 
Mwaka huu msishangae bei ya unaga kuzidi ya mchele. Haya ndyo mabadiliko. Fungeni mkanda
 
Mlitaka Bei ya Unga iwe Constant?
badilisha duka huku ni 1,000/=.
 
Habari wanajf. Leo nimeamua kuzungumzia hili suala la kupanda kwa bei ya unga wa mahindi au sembe, sasa hivi unga wa sembe bei yake kwa kilo 50 imefikia 64000 wakati kilo 25 imefikia 32000 kwenye maduka ya rejareja imefikia kwa kilo wanauza 1500 hadi 1600 wakati hapo awali ilikuwa 1200. Serikali pia inatakiwa kuliangalia suala hili mapema kwakuwa kwenye bajeti waliahidi mazao ya nafaka yatashuka bei kwa kupewa ruzuku. Pia unga wa mahindi kwa kiasi kikubwa ndio mkombozi wa watu wa chini hata hali ikiwa ngumu mtu akishindwa kula ugali basi atakunywa uji. Naomba kuwasilisha.
 
Back
Top Bottom