Unga wa sembe kg 1 sasa ni tsh 1500/1600

Unga wa sembe kg 1 sasa ni tsh 1500/1600

Wale wasomi wa enzi zile na formula zao chakavu za uchumi zinapoteza nchi... niliwahi sema akina Mpango na wenzao waliomzunguka Magufuli ni wasomi wenye theory chakavu kwa dunia ya leo... kubana matumizi na kupunguza mzunguko wa pesa ni kanuni hatarishi kwa uchumi wa sasa maana mazingira yamebadilika sana... kwa sasa gharama za maisha kwa mtanzania ni kubwa sana na hakuna namna zinaweza shuka kulingana na hali halisi ilivyo.... kuna tetesi wahusika wameshindwa kama ilivyoshindwa ugiriki..... Ni zaidi ya mwaka sasa hali ya fedha ikiwa mbaya sana gharama za maisha zimepanda maradufu ya awali wakati wa mzunguko mkubwa wa fedha.... YETU MACHO!!!!
 
Huu mwaka bora tu uishe. Mungu Mwenyezi tuongoze wewe mwenyewe tu, uliempa mamlaka kashindwa
 
Back
Top Bottom