Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 17,018
- 20,489
Uzalendo kwa nchi yetu ni muhimu kuliko kila kitu, nawaomba ndugu zangu tusiingize siasa juu ya mgogoro wa Malawi na mengine yanayohusu taifa!
Tangu juzi majira ya saa sita za usiku vikosi vya wapiganaji vya Tanzania vikiwa na silaha nzito vimeanza kuwasili kusini mwa Tanzania kukabiliana na UVAMIZI wa Malawi,
Ninawashauri wanaolidharau jeshi letu wasafiri mpaka kwenye ufukwe wa Ziwa Nyasa (beach) wakaone wapiganaji wetu walivyo pandisha MORI kwa hamu ya kusubiri amri ya Amiri jeshi Mkuu wa Majeshi yote Tanzania na kuanza mtiti rasmi wa kumuonya Banda!
Haijalisha juhudi za kidiplomasia zinaendelea lakini kinga na heshima ya taifa letu haitapuuzwa hata chembe,
Pamoja na tamko la serikali ya Tz kumtaka rais Joyce Banda kusitasha shughuli za utafiti wa mafuta katika ziwa Nyasa mpaka suluhu ya kidiplomasia ipatikane, bado taarifa za kiintelijensia kutoka Ikulu ya Malawi zinasema kuwa Mwanamama Joyce ameshikilia uzi kuwa Ziwa LOTE ni lake!
Katika hali hii, niwazi kuwa ili kuilinda mipaka ya nchi yetu yatupasa KUUNGA MKONO JWTZ kwa kila hali na mali, na ikilazimu kupatikana wapiganaji wa kujitolea mimi nitakuwa wakwanza kuingia uwanja wa VITA kuitetea nchi yangu dhidi ya UVAMIZI dharimu wa Malawi kwa ardhi yetu!
Tuache siasa tuungane kuwaunga mkono wanadiplomasia wanaojitahidi kuepusha VITA na ikishindikana TUUNGE MKONO vita kwa moyo mmoja kutetea UHURU wetu!
Itasikitisha kusikia siasa za Chadema, CUF, UDP, TLP,NCCR Mageuzi au CCM katika mgogoro huu.
Wote tuongee lugha moja tuhubiri uhuru wa nchi yetu, na hakuna kipande cha ardhi yetu kitakachomegwa na taifa lolote lile kigeni tungali hai watz!
UNGA MKONO JWTZ kulinda NCHI yetu!
Tangu juzi majira ya saa sita za usiku vikosi vya wapiganaji vya Tanzania vikiwa na silaha nzito vimeanza kuwasili kusini mwa Tanzania kukabiliana na UVAMIZI wa Malawi,
Ninawashauri wanaolidharau jeshi letu wasafiri mpaka kwenye ufukwe wa Ziwa Nyasa (beach) wakaone wapiganaji wetu walivyo pandisha MORI kwa hamu ya kusubiri amri ya Amiri jeshi Mkuu wa Majeshi yote Tanzania na kuanza mtiti rasmi wa kumuonya Banda!
Haijalisha juhudi za kidiplomasia zinaendelea lakini kinga na heshima ya taifa letu haitapuuzwa hata chembe,
Pamoja na tamko la serikali ya Tz kumtaka rais Joyce Banda kusitasha shughuli za utafiti wa mafuta katika ziwa Nyasa mpaka suluhu ya kidiplomasia ipatikane, bado taarifa za kiintelijensia kutoka Ikulu ya Malawi zinasema kuwa Mwanamama Joyce ameshikilia uzi kuwa Ziwa LOTE ni lake!
Katika hali hii, niwazi kuwa ili kuilinda mipaka ya nchi yetu yatupasa KUUNGA MKONO JWTZ kwa kila hali na mali, na ikilazimu kupatikana wapiganaji wa kujitolea mimi nitakuwa wakwanza kuingia uwanja wa VITA kuitetea nchi yangu dhidi ya UVAMIZI dharimu wa Malawi kwa ardhi yetu!
Tuache siasa tuungane kuwaunga mkono wanadiplomasia wanaojitahidi kuepusha VITA na ikishindikana TUUNGE MKONO vita kwa moyo mmoja kutetea UHURU wetu!
Itasikitisha kusikia siasa za Chadema, CUF, UDP, TLP,NCCR Mageuzi au CCM katika mgogoro huu.
Wote tuongee lugha moja tuhubiri uhuru wa nchi yetu, na hakuna kipande cha ardhi yetu kitakachomegwa na taifa lolote lile kigeni tungali hai watz!
UNGA MKONO JWTZ kulinda NCHI yetu!