Unga mkono JWTZ kulinda mipaka ya Nchi yetu!

Unga mkono JWTZ kulinda mipaka ya Nchi yetu!

Yericko Nyerere

JF-Expert Member
Joined
Dec 22, 2010
Posts
17,018
Reaction score
20,489
Uzalendo kwa nchi yetu ni muhimu kuliko kila kitu, nawaomba ndugu zangu tusiingize siasa juu ya mgogoro wa Malawi na mengine yanayohusu taifa!

Tangu juzi majira ya saa sita za usiku vikosi vya wapiganaji vya Tanzania vikiwa na silaha nzito vimeanza kuwasili kusini mwa Tanzania kukabiliana na UVAMIZI wa Malawi,

Ninawashauri wanaolidharau jeshi letu wasafiri mpaka kwenye ufukwe wa Ziwa Nyasa (beach) wakaone wapiganaji wetu walivyo pandisha MORI kwa hamu ya kusubiri amri ya Amiri jeshi Mkuu wa Majeshi yote Tanzania na kuanza mtiti rasmi wa kumuonya Banda!


Haijalisha juhudi za kidiplomasia zinaendelea lakini kinga na heshima ya taifa letu haitapuuzwa hata chembe,

Pamoja na tamko la serikali ya Tz kumtaka rais Joyce Banda kusitasha shughuli za utafiti wa mafuta katika ziwa Nyasa mpaka suluhu ya kidiplomasia ipatikane, bado taarifa za kiintelijensia kutoka Ikulu ya Malawi zinasema kuwa Mwanamama Joyce ameshikilia uzi kuwa Ziwa LOTE ni lake!

Katika hali hii, niwazi kuwa ili kuilinda mipaka ya nchi yetu yatupasa KUUNGA MKONO JWTZ kwa kila hali na mali, na ikilazimu kupatikana wapiganaji wa kujitolea mimi nitakuwa wakwanza kuingia uwanja wa VITA kuitetea nchi yangu dhidi ya UVAMIZI dharimu wa Malawi kwa ardhi yetu!

Tuache siasa tuungane kuwaunga mkono wanadiplomasia wanaojitahidi kuepusha VITA na ikishindikana TUUNGE MKONO vita kwa moyo mmoja kutetea UHURU wetu!

Itasikitisha kusikia siasa za Chadema, CUF, UDP, TLP,NCCR Mageuzi au CCM katika mgogoro huu.

Wote tuongee lugha moja tuhubiri uhuru wa nchi yetu, na hakuna kipande cha ardhi yetu kitakachomegwa na taifa lolote lile kigeni tungali hai watz!

UNGA MKONO JWTZ kulinda NCHI yetu!
 
Saafi, hawa wamalawi wanataka kupima nguvu zetu za kijesh ngoja tukawavamie! Mpaka blantaya wasagaji na mashoga hao alaa
 
Wanajeshi si ndio kazi yao, waache waende kwani muda wote wameuchuna tuuuuuuuu.
 
Wanajeshi si ndio kazi yao, waache waende kwani muda wote wameuchuna tuuuuuuuu.

Ili washinde wanahitaji kuungwa mkono na wananchi, kumbuka vita ya uganda tulishinda kwakuwa tuliungana na kuwa kitu kimoja!

UNGA MKONO JWTZ kulinda nchi yetu
 
Wanajeshi si ndio kazi yao, waache waende kwani muda wote wameuchuna tuuuuuuuu.
kuunga mkondo jeshi sio kusema tu bali hata kuingia hapa Jukwaani na mwelekeo ulio mzuri ni supporter pia.
Mimi ni Mtanzania lakini naomba Mh. Waziri Mathias Chikawe afute kwanza kauli yake bungeni kuwa wahusika wa EPA Tanzania hawahusiki lakini asipofanya hiyo, I feel so inferior to support our Jeshi japo inauma!

Pia mkuu Yeriko usijidanganye na 'ukubwa' wa jeshi maana la Ghadafi lilikuwa kubwa zaidi ya letu!

 
Uzalendo kwa nchi yetu ni muhimu kuliko kila kitu, nawaomba ndugu zangu tusiingize siasa juu ya mgogoro wa Malawi na mengine yanayohusu taifa!

Tangu juzi majira ya saa sita za usiku vikosi vya wapiganaji vya Tanzania vikiwa na silaha nzito vimeanza kuwasili kusini mwa Tanzania kukabiliana na UVAMIZI wa Malawi,

Ninawashauri wanaolidharau jeshi letu wasafiri mpaka kwenye ufukwe wa Ziwa Nyasa (beach) wakaone wapiganaji wetu walivyo pandisha MORI kwa hamu ya kusubiri amri ya Amiri jeshi Mkuu wa Majeshi yote Tanzania na kuanza mtiti rasmi wa kumuonya Banda!


Haijalisha juhudi za kidiplomasia zinaendelea lakini kinga na heshima ya taifa letu haitapuuzwa hata chembe,

Pamoja na tamko la serikali ya Tz kumtaka rais Joyce Banda kusitasha shughuli za utafiti wa mafuta katika ziwa Nyasa mpaka suluhu ya kidiplomasia ipatikane, bado taarifa za kiintelijensia kutoka Ikulu ya Malawi zinasema kuwa Mwanamama Joyce ameshikilia uzi kuwa Ziwa LOTE ni lake!

Katika hali hii, niwazi kuwa ili kuilinda mipaka ya nchi yetu yatupasa KUUNGA MKONO JWTZ kwa kila hali na mali, na ikilazimu kupatikana wapiganaji wa kujitolea mimi nitakuwa wakwanza kuingia uwanja wa VITA kuitetea nchi yangu dhidi ya UVAMIZI dharimu wa Malawi kwa ardhi yetu!

Tuache siasa tuungane kuwaunga mkono wanadiplomasia wanaojitahidi kuepusha VITA na ikishindikana TUUNGE MKONO vita kwa moyo mmoja kutetea UHURU wetu!

Itasikitisha kusikia siasa za Chadema, CUF, UDP, TLP,NCCR Mageuzi au CCM katika mgogoro huu.

Wote tuongee lugha moja tuhubiri uhuru wa nchi yetu, na hakuna kipande cha ardhi yetu kitakachomegwa na taifa lolote lile kigeni tungali hai watz!

UNGA MKONO JWTZ kulinda NCHI yetu!

Navichukia sana vyombo vya ulinzi vya Tanzania. Rasilimali za nchi zikichukuliwa na nchi jirani wanapandisha mori lakini zikichukuliwa na Mtanzania fisadi zikaenda kufichwa nchi jirani hawana Tatizo nao.
 
kuunga mkondo jeshi sio kusema tu bali hata kuingia hapa Jukwaani na mwelekeo ulio mzuri ni suppoer pia.
Mimi ni Mtanzania lakini naomba Mh. Waziri Mathias Chikawe afute kwanza kauli yake bungeni kuwa wahusika wa EPA Tanzania hawahusiki lakini asipofanya hiyo, I feel so inferior to support our Jeshi japo inauma!

Pia mkuu Yeriko usijidanganye na 'ukubwa' wa jeshi maana la Ghadafi lilikuwa kubwa zaidi ya letu!


Siku zote katika maisha yangu huamini kuwa vita kati ya Haki na Udharimu, Mungu huwa upande wa HAKI na katika hili Tanzania tupo upande wa HAKI
 
Shime watanzania katika hili JWTZ wanaitaji moral and material support izi tofauti zetu za ndani zikae kando kwanza
 
Haya sasa vita ni vita mura kilimo kwanza mfuko wa mbolea laki moja muraaaaa kusema mbali vitendo mbali tafakari chukua hatua!
 
Wanajeshi si ndio kazi yao, waache waende kwani muda wote wameuchuna tuuuuuuuu.

Wakianzisha vita wanataka tuwaunge mkono wakati wa amani wanatuibia na kuficha VIJISENTI ulaya wakati sie tunakufa na njaa!!
 
we jidanganye tu, vita ikianza mps wanapita kukamata maofisini kama nyie kuwapeleka mstari wa mbele...

hayo maneno tu, mbona huku tumeshaanza kujiandikisha? sipatii picha huyu mama banda tutamfanya nn tutakapoiteka Malawi .Hivi huyu ni mke wa docta kamuzu /litoto lake? maana majina ya mwisho kama yanafanania vile!
 
Siwezi kuunga mkono ili swala, hivi unajua ndani ya tanzania kuna ardhi ambayo siyo mali yetu? Ambayo viongozi wetu wameuza kwa mataifa ya kiarabu toka enzi za Mwinyi?

Ziwa Nyasa ni mali ya Wamalawi,kwa nini unataka tumwage damu kwaajili ya kuwanyanganya wa Malawi ardhi yao? Ingali tunashindwa kusimamia ardhi yetu inayochukuliwa na wageni kila uchao?
 
Siwezi kuunga mkono ili swala, hivi unajua ndani ya tanzania kuna ardhi ambayo siyo mali yetu? Ambayo viongozi wetu wameuza kwa mataifa ya kiarabu toka enzi za Mwinyi?

Ziwa Nyasa ni mali ya Wamalawi,kwa nini unataka tumwage damu kwaajili ya kuwanyanganya wa Malawi ardhi yao? Ingali tunashindwa kusimamia ardhi yetu inayochukuliwa na wageni kila uchao?
yanaibuka mapya sasa, na mtu asimame hapa na kubisha juu ya haya!!! Yametokea jeshi likiwepo!
 
Siwezi kuunga mkono ili swala, hivi unajua ndani ya tanzania kuna ardhi ambayo siyo mali yetu? Ambayo viongozi wetu wameuza kwa mataifa ya kiarabu toka enzi za Mwinyi?

Ziwa Nyasa ni mali ya Wamalawi,kwa nini unataka tumwage damu kwaajili ya kuwanyanganya wa Malawi ardhi yao? Ingali tunashindwa kusimamia ardhi yetu inayochukuliwa na wageni kila uchao?

Umegonga ikulu safi sana kiongozi,nilishawahi sema huko nyuma bora tu wamalawi wachukue ziwa lao!!
 
Siwezi kuunga mkono ili swala, hivi unajua ndani ya tanzania kuna ardhi ambayo siyo mali yetu? Ambayo viongozi wetu wameuza kwa mataifa ya kiarabu toka enzi za Mwinyi?

Ziwa Nyasa ni mali ya Wamalawi,kwa nini unataka tumwage damu kwaajili ya kuwanyanganya wa Malawi ardhi yao? Ingali tunashindwa kusimamia ardhi yetu inayochukuliwa na wageni kila uchao?

Pole sana mkuu!
Hata kama hayo yapo kwa mgongo wa uwekezaji lakini uvamizi wa Malawi tuugatae!

Tusimamie ukweli wa mpaka kuwa katikati ya ziwa nyasa na si ufukwe wa tz!
 
Yericko NI UJINGA SANA KUTAMBA KWA KUCHOKONOA VITA.kWENYE MABANGO YAKO MENGI NIMEKUWA NIKIKUUNGA MKONO LAKINI KWA ILI SIKUUNGI HATA KUCHA.Mimi ni askari by professional ingawa niliacha na kujiunga na kazi za kiraia za serikali, mantiki ya kuunga mkono vita haipo.Utakuwa uwendawazimu leo hii TANZANIA ITAINGIA VITANI NA MALAWI KWA AJILI YA MPAKA.vITA WATU KAMA WEWE WANAFIKIRI NI SHEREHE ZA HARUSI NA KUVISHANA PETE.NO.Kwa nchi kama hii ambayo imekwisha tafunwa na ufisadi wa kutisha ni MAFISADI TU NDIO WANASHANGILIA VITA ILI WAPATE MWANYA WA KUIFISADI NCHI VIZURI.CHAMA CHANGU MAKINI CDM NAOMBA KIWEKEZE KATIKA DIPLOMACY NA KUACHA KAULI ZA KIJINGA ZA AKINA MEMBE KUCHOKONOA VITA. NCHI HII HAINA UWEZO WA KIFEDHA KUWEKA JESHI KATIKA VITA ZAIDI YA WEEK 4 BILA KUFILISIKA RASMI.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom