Unga kilo ni shilingi 2200 kwa baadhi ya sehemu huku Dar inatarajiwa kufika 3000 tukiingia mwezi wa pili.
Walanguzi ndio wanufaikaji wakubwa na sio wakubwa kwa hiyo serikali isidhani kuwa wakulima ndio wananufaika la hasha wanaokula mema sasa hivi ni walanguzi
Huu mfumuko ni hatari sana
Sent using
Jamii Forums mobile app