kat.ph
JF-Expert Member
- Dec 19, 2013
- 2,222
- 1,675
Forces of demand and supply. Mahitaji ni makubwa ndani na nje ya nchi
Sent using Jamii Forums mobile app
Forces of demand and supply. Mahitaji ni makubwa ndani na nje ya nchi
Tambi utashiba ndyo ila baada ya dakka kadhaa tu njaa.Hivi tambi zinashibisha?. Mimi naona huwa zinanikinaisha ila nabaki na njaa.
Forget it! Demand ya mahindi na mpunga ipo juu hatari..... nchi za jirani tu zimeshaset budget ya kununua mahindi na mpunga mwaka huu. Google Kenya imetenga kiasi gani, wana hali ngumu ya uzalishaji.Kwa mavuno ya msimu huu..unga kilo utarudi hadi shilingi mia tatu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi sipendi hata kuziona hizo kitu.
Ila watu wanachukulia mambo kirahisi sana hapa jukwaani. Eti 'kula wali, kula keki, kula tambi' dahh .
Arusha hapa kilo ya unga 1500 hadi 1600.
Ukisikia njaa baada ya dakika unaweza kuzirudia kuzila? Hauwi umezikinai?Tambi utashiba ndyo ila baada ya dakka kadhaa tu njaa.
Mie kwakweli sikinai.Ukisikia njaa baada ya dakika unaweza kuzirudia kuzila? Hauwi umezikinai?
Sasa chakula kikiwa kibaya unaanza vipi kukila? 😃Mimi nimeambiwa nitakuwa sijui kuzipika. Ila kweli tambi si chakula, ni mbaya. Na chakula kikiwa kibaya "unashiba huku una njaa".
'Kula keki'? Huyu atakuwa alikuwa anatania.
Nina mwaka na zaidi sijala ugali. Ila naupenda.
Basi wewe unazipenda.Mie kwakweli sikinai.
Sasa chakula kikiwa kibaya unaanza vipi kukila?
Hao wanasema watu wale keki ni wale jamaa wa Lumumba wao daily buku 7 zinaingia hawana tatizo.
Mwaka hujala ugali? Duh, mwaka huu tu sijui kama kuna siku sijala ugali. Ila kawaida kwa watoto wa kike hampendi ugali.
Hiyo ya Lumumba achana nao.Unakula tuu ili usife.
Nimetoka ku-search "Lumumba na jamaa wa Lumumba" sijaambulia kitu.
Mimi napenda ugali kuliko tambi na wali.
vijana wa lumumba ni vijana wa ccm (hiyo ni code ya jf),Unakula tuu ili usife.
Nimetoka ku-search "Lumumba na jamaa wa Lumumba" sijaambulia kitu.
Mimi napenda ugali kuliko tambi na wali.
Mazingira tuu ndio hayaruhusu ila naupenda.Hiyo ya Lumumba achana nao.
Unapenda ugali kuliko tambi na wali yet ni mwaka na zaidi hujala ugali? Utakuwa unakula sana chips wewe nahisi!
Asante sana cognition, sasa nimeelewa.vijana wa lumumba ni vijana wa ccm (hiyo ni code ya jf),
Ukisikia Lumumba buku 7 means ni vijana wa ccm wapo humu kwa kazi maalumu ya propaganda na ujira wao ni 7000 kwa siku.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mazingira hayaruhusu vipi?Mazingira tuu ndio hayaruhusu ila naupenda.
Mlaji ni mimi pekee yangu. Nadhani hii ndio sababu.
Unga kilo ni shilingi 2200 kwa baadhi ya sehemu huku Dar inatarajiwa kufika 3000 tukiingia mwezi wa pili.
Walanguzi ndio wanufaikaji wakubwa na sio wakubwa kwa hiyo serikali isidhani kuwa wakulima ndio wananufaika la hasha wanaokula mema sasa hivi ni walanguzi
Huu mfumuko ni hatari sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Unataka wakachukue mahindi walio uza ZimbabweUnga kilo ni shilingi 2200 kwa baadhi ya sehemu huku Dar inatarajiwa kufika 3000 tukiingia mwezi wa pili.
Walanguzi ndio wanufaikaji wakubwa na sio wakubwa kwa hiyo serikali isidhani kuwa wakulima ndio wananufaika la hasha wanaokula mema sasa hivi ni walanguzi
Huu mfumuko ni hatari sana
Sent using Jamii Forums mobile app