Unga kilo shilingi 2,200, Serikali iingilie kati

Unga kilo ni shilingi 2200 kwa baadhi ya sehemu huku Dar inatarajiwa kufika 3000 tukiingia mwezi wa pili.

Walanguzi ndio wanufaikaji wakubwa na sio wakubwa kwa hiyo serikali isidhani kuwa wakulima ndio wananufaika la hasha wanaokula mema sasa hivi ni walanguzi

Huu mfumuko ni hatari sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Huku kwetu kilo 1300 sembe

born to shine
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom