medsebapol
JF-Expert Member
- Jul 16, 2015
- 327
- 225
Kwaio tukubaliane kwamba simu aina ya smartphone walioziruhusu zitumike,awakuangalia upande wa pili wa hizo zimu wameangalia positve tu ila upande wa negative ata awanampangoHuawei ndo huwa hazichelewi kufa kwa mdudu huyo,yaan zinakufa kabisa hata mafundi uliowapelekea siyo kwamba walishindwa ila ni simu ynyewe imefikia situation ambayo hata uki command ili uingie kwenye update mode inakuwa haiwezi tena na ikifika hapo ujue hata fundi haiwez labda akuuzie machine nyingine