frank nyantu2
JF-Expert Member
- Jun 26, 2016
- 298
- 162
Yangu huiwezi aisee!! Hadi setting ya kufomat hufiki kabisa na ukibahatika kile kibox cha android kinakuwa kimesomama tu hata kwenye computer haikubaki kuformatmi naweza ondoa iyo kitu simu yangu ilikua kila dakika inasema hiv kwa fundi nilienda bila mafanikio ila nilibahatika kuitoa mimi