Unfortunately, the process com.android.phone has stopped

Unfortunately, the process com.android.phone has stopped

mi naweza ondoa iyo kitu simu yangu ilikua kila dakika inasema hiv kwa fundi nilienda bila mafanikio ila nilibahatika kuitoa mimi
Yangu huiwezi aisee!! Hadi setting ya kufomat hufiki kabisa na ukibahatika kile kibox cha android kinakuwa kimesomama tu hata kwenye computer haikubaki kuformat
 
mi naweza ondoa iyo kitu simu yangu ilikua kila dakika inasema hiv kwa fundi nilienda bila mafanikio ila nilibahatika kuitoa mimi
Ulifanyaje mkuu maana hata Mimi ni muanga wa ilo tatizo
 
Hata mimi ilinisumbua sana hasa kwenye kupokea simu, kiasi kwamba niliirudidha dukani na wakanibadilishia. Hata hivyo tatizo liliendelea hata kwa hiyo yingine. Lakini nashukuru ilinipa akili, kwa sasa hilo ni tatizo dogo..... Nilipata ufumbuzi mwenyewe
 
Mkuu hata mm ni muanga wa ilo tatizo mkuu yangu ni Tecno L6 nikipigiwa siwezi kupokea inaandika "UNFORTUNATELY THE PHONE HAS STOPPED"
Pole sana. Mimi mwenyewe natumia tecno L6 na hilo tatizo limenisumbua sana, nilienda kwa mafundi bila mafanikio, na nadhani hili ni tatizo la kawaida kwa toleo hili. Kufix tatizo hilo nenda playstore udownload "HD caller ID" ya "NickyCho" na uiset utakavyo wewe.
Tatizo lako litaisha. Kama itakusumbua uliza zaidi
 
Pole sana. Mimi mwenyewe natumia tecno L6 na hilo tatizo limenisumbua sana, na nadhani hili ni tatizo la kawaida kwa toleo hili. Kufix tatizo hilo nenda playstore udownload "HD caller ID" ya "NickyCho" na uiset utakavyo wewe.
Tatizo lako litaisha. Kama itakusumbua uliza zaidi
Nakushukuru mkuu ngoja nijaribu ntarudi kukupa mrejesho
 
Unaweza kukataa ila matatzo makubwa ya hyo system kutofanya kazi ni kwa kuangalia sana video za ngono... Maana huwa zina virus wa kutosha..

Si lazima kukubali
 
Unaweza kukataa ila matatzo makubwa ya hyo system kutofanya kazi ni kwa kuangalia sana video za ngono... Maana huwa zina virus wa kutosha..

Si lazima kukubali
Inawezekana mkuu. Lakini kwa Tecno L6 sidhani kama hiyo ni sababu pekee. Mimi nimechukua simu mpya dukani, ikasumbua. Nikairudisha na KUBADILISHIWA.... Na hiyo nyingine tatizo liko pale pale, kumbuka hapo sijaangalia hayo uliyoyasema.
 
Mi yangu huawei ilianza ivyo nikawaperekea mafundi ikawa olaaa nikajarb kuingia kene site ya huawei ili nipate product za simu bahati mbaya walikuwa awajazieka.mwisho wa siku ikawa imezima kabisa nimeipaki
 
Inawezekana mkuu. Lakini kwa Tecno L6 sidhani kama hiyo ni sababu pekee. Mimi nimechukua simu mpya dukani, ikasumbua. Nikairudisha na KUBADILISHIWA.... Na hiyo nyingine tatizo liko pale pale, kumbuka hapo sijaangalia hayo uliyoyasema.
Kuna shida nyingine sim nyingi za tekno hasa matoleo ambayo yanapendwa na watu huwa zimetumika, na hvyo kuingizwa nchin kama product mpya, badala ya used, inategemea pia umenunua wapi!?
 
Mi yangu huawei ilianza ivyo nikawaperekea mafundi ikawa olaaa nikajarb kuingia kene site ya huawei ili nipate product za simu bahati mbaya walikuwa awajazieka.mwisho wa siku ikawa imezima kabisa nimeipaki
Huawei ndo huwa hazichelewi kufa kwa mdudu huyo,yaan zinakufa kabisa hata mafundi uliowapelekea siyo kwamba walishindwa ila ni simu ynyewe imefikia situation ambayo hata uki command ili uingie kwenye update mode inakuwa haiwezi tena na ikifika hapo ujue hata fundi haiwez labda akuuzie machine nyingine
 
Kuna shida nyingine sim nyingi za tekno hasa matoleo ambayo yanapendwa na watu huwa zimetumika, na hvyo kuingizwa nchin kama product mpya, badala ya used, inategemea pia umenunua wapi!?
Swala sio used au mpya.. Swala ni hizo Soc kimeo.. Mediatek itabak kua muanga wa hayo majanga hadi kesho...
 
Huo ugonjwa unsabibisha na mtumiaji kuna sehemu kwenye security uki select lazima baada ya mda virus aingie

Hyo sehemu ipo ukingia kwenye security
Kuna sehemu kuna option ya weka tick yani namanashia kuchagua ---------->Unknown source
Kuna app nyingi wakati waku install zinakwambia hyo option lazima u select ili uweze Ku install. In hatari ukisau kutoa hyo option ndo utakuta vi application vinaji download vyenyewe
 
View attachment 378105
simu inateta hivyo muda wote, nifanyeje kutatua tatizo


Mara nyingi hii husababiswa na interferance of apps in the system...
Chanzo chake kupo kwa aina mbili....
1... User mwenyewe
2...Adds

Kwa kawaida app inaweza kuwa installed na badala yake ikaenda ku corrupt apps nyingine.. Hapo tunapata neno Virus

Baadhi ya apps tunazoinstall eithe kwa bahati mbaya kwa kupitia adds mara nyingi ndio huwa chanzo chamatatizo...

Ifahamike kuwa apps hizo huenda kutengeneza false root ambapo inakuwa ni rahisi kwa apps ambazo ni virus kujiinstall kwa urahisi

Solution
1. Root hiyo simu ili iwe na proper root permission via Super User
2. Try to clear cache japo kama itakubali itakuwa ni temporary solution
3.Get a new official stock rom and flash...
 
Back
Top Bottom