Undumila kuwili wa wamaagharibi mgogoro Gaza, Putin Dume!

brazaj

JF-Expert Member
Jul 26, 2016
27,879
35,876
Tatizo lilopo Palestina ni la muda mrefu kutokea kwenye unyakuzi wa maeneo yaliyokuwa ya wapalestina kufanywa taifa la Israel. Pia unyakuzi wa maeno zaidi ulioendelea kufuatia vita mbali baina yao 1967 na 1973.

Duniani kote watu wanaandamana kupinga ulipizaji kisasi wa Israel kwa wapalestina wote, kwa vita vyake na HAMAS:


View: https://m.youtube.com/watch?v=0bfIBhWquTU

Uingereza imepiga marufuku kunyanyua bendera ya HAMAS hadharani, lakini bado zinapanda. Maandamano ni kwingi duniani. Tokea mashariki ya mbali, kati, ya magharibi hadi New York huko, ni maandamano mtindo mmoja na si madogo.

Syria, Lebanon na West Bank kumeshakuwepo makabiliano (ya moto) na makombora mazito mazito. Huko ni maeneo mapya ya makabiliano.

"Hezbollah (Lebanon) Kwa hakika wapewe maua yao kwa kusimama na wapalestina kwa vitendo vikamilifu katika wakati huu mgumu." Bila kusahau Iran iko na Palestina na Hizbolla. Na Iran Iko na Urusi.

"Revenge or collective punishment" ni haramu kokote kulikostaarabika. Katibu Mkuu UN anasema hata vita zina sheria zake. Kwamba haki za binadamu na natural justice lazima kuheshimiwa.

Marekani na washirika wake wameapa kuiunga mkono Israel kwa lolote. Bila shaka "lolote" ni kwa maana yake kamili.

"Putin amekuwa wazi. La muhimu Sasa hivi ni kisisitiza vita kusimama mara moja. Bila kusahau historia ya mgogoro huu ni kwenye uvamizi wa ardhi ya Palestina."

Maneno kuntu kabisa kutoka kwake Vladimir Putiin, (pamoja na ukakasi wake Ukraine) rais wa Urusi.

"Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni."

Kwa hakika Nyerere, Mandela, Tutu na wa namna hiyo wangekuwapo, wangesha walaani Israel na kuwaunga mkono Palestina. Kwa hakika wangekuwa wameyafanya hayo hadharani na mchana kweupe.

Uzi huu unahusika:

Kama tunataka Katiba Mpya, Tusiionee "Haya" Haki ya awaye yote
 
Wengine wanasubiri unabii utumie,
Kwamba wayahudi watajikusanya Dunia mzima na kufanya ufisadi mkubwa na Kisha kutwaa msikiti ,
Ila mwisho msikiti utakuja kutwaliwa tena kutoka Kwa mayahudi.
Hivyo huu ni mlolongo wa matukio lakini Bado ufisadi utaendelea.
Kudos Kwa Putin apewa maua yake ila sio mkombozi ktk huu mgogoro.
 
Wengine wanasubiri unabii utumie,
Kwamba wayahudi watajikusanya Dunia mzima na kufanya ufisadi mkubwa na Kisha kutwaa msikiti ,
Ila mwisho msikiti utakuja kutwaliwa tena kutoka Kwa mayahudi.
Hivyo huu ni mlolongo wa matukio lakini Bado ufisadi utaendelea.
Kudos Kwa Putin apewa maua yake ila sio mkombozi ktk huu mgogoro.

Wasipoangalia hapa vita kuu #3 ya Dunia inanukia.

"Bila kusahau Iran iko na Palestina na Hizbolla. Na Iran Iko na Urusi."

Cc: MK254
 
Tatizo lilopo Palestina ni la muda mrefu kutokea kwenye unyakuzi wa maeneo yaliyokuwa ya wapalestina kufanywa taifa la Israel. Pia unyakuzi zaidi wa maeneo ulioendelea kufuatia vita mbali baina ya waarabu na waisrael zikiwapo 1967 na 1973.

Duniani kote watu wanaandamana kupinga ulipizaji kisasi wa Israel kwa wapalestina wote kwa vita vyake na HAMAS:


View: https://m.youtube.com/watch?v=0bfIBhWquTU

Uingereza imepiga marufuku kunyanyua bendera ya HAMAS hadharani lakini bado zinapanda. Maandamano ni kwingi duniani. Tokea mashariki ya mbali, kati, magharibi hadi New York huko, ni maandamano mtindo mmoja na si madogo.

Syria, Lebanon na West Bank kumeshakuwepo makabiliano (ya moto) na makombora mazito mazito hayo yakiwa ni maeneo mapya ya makabiliano haya.

"Hezbollah (Lebanon) wapewe maua yao Kwa kusimama na wapalestina kwa vitendo katika wakati huu mgumu."

Revenge or collective punishment ni haramu. Katibu Mkuu UN anasema hata vita zina sheria zake. Kwamba haki za binadamu na natural justice lazima kuzingatiwa.

Marekani na washirika wake wameapa kuiunga mkono Israel kwa lolote. Bila shaka "lolote" kwa maana yake kamili.

"Putin amekuwa wazi. Muhimu ni kisisitiza vita kusimama mara moja bila kusahau historia ya mgogoro huu kwenye uvamizi wake Palestina."

Maneno kuntu kabisa kutoka kwake Vladimir Putin rais wa Urusi. Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.

Kwa hakika Nyerere, Mandela, Tutu na wa namna hiyo wangekuwapo, wangewalaani Israel na kuwaunga mkono Palestina. Kwa hakika wangefanya hivyo hadharani.

Uzi huu unahusika:

Kama tunataka Katiba Mpya, Tusiionee "Haya" Haki ya awaye yote

Kwa hiyo Hamas waue na kuteka waisrael Huku mnashangilia utekaji huo na kuwaita hamasi ni mashujaa, Israel imeisha ni dhaifu halafu Israel wawachekee! Hakuna nchi ambayo inaweza kuvumilia uchokozi wa hamasi.
 
Nimekuwa nikiangalia Maandamano huko New York nimefurahishwa sana na Demokrasia, Waisraeli na Wapalestina wote waliandamana kwa AMANI.

Lakini hebu Imagine kama Wayahudi wangeandamana Iraq au Yemen au Saudi Arabia for sure wangeuwawa huku watu wakichant Alaahu Akbar!

Umeona tofauti?
 
Kwa hiyo Hamas waue na kuteka waisrael Huku mnashangilia utekaji huo na kuwaita hamasi ni mashujaa, Israel imeisha ni dhaifu halafu Israel wawachekee! Hakuna nchi ambayo inaweza kuvumilia uchokozi wa hamasi.

Sina hakika kama unajua Gaza ni ni jela?

"Often described as an “open-air prison,” the Gaza Strip is perceived as a symbol of the Palestinian cause. For 16 years, no one has been permitted to leave without special authorization from Israel."

Israel itajinasibu kujilinda au kushambiliwa kwenye maeneo ya wizi?

Armed struggle watu hufa ndugu. Israel imekuwa ikuuwa wapalestina wangapi kwenye muda wote wa uvamizi?

Kukabili mvamizi hakuwezi kuitwa uchokozi.
 
Wengine wanasubiri unabii utumie,
Kwamba wayahudi watajikusanya Dunia mzima na kufanya ufisadi mkubwa na Kisha kutwaa msikiti ,
Ila mwisho msikiti utakuja kutwaliwa tena kutoka Kwa mayahudi.
Hivyo huu ni mlolongo wa matukio lakini Bado ufisadi utaendelea.
Kudos Kwa Putin apewa maua yake ila sio mkombozi ktk huu mgogoro.
Hata huu uzi pia wewe ni mshindi kama putin kula like moja mwana!
 
Nimekuwa nikiangalia Maandamano huko New York nimefurahishwa sana na Demokrasia Waisraeli na Wapalestina wote waliandamana kwa AMANI.

Lakini hebu Imagine kama Wayahudi wangeandamana Iraq au Yemen au Saudi Arabia for sure wangeuwawa huku watu wakichant Alaahu Akbar

Umeona tofauti?

Huioni tofauti hapa?

"Marekani na washirika wake wameapa kuiunga mkono Israel kwa lolote. Bila shaka "lolote" ni kwa maana yake kamili."

Unafahamu hiyo lolote ni pamoja na kuwafanya wapalestina watakavyo siku zote, wala si kwa hili tu?

Lini Marekani imelaani madhila ya wapalestina? Haki haiwezi kuwa na macho. Haki na usawa ni kwa wote.

Muasisi wa chuki unayoisema ni huyo unayeinekana kumshabikia.
 
Huioni tofauti hapa?

"Marekani na washirika wake wameapa kuiunga mkono Israel kwa lolote. Bila shaka "lolote" ni kwa maana yake kamili."

Unafahamu hiyo lolote ni pamoja na kuwafanya wapalestina lolote siku zote wala si kwa hili tu?

Lini Marekani imelaani madhila ya wapalestina?

Haki haiwezi kuwa na macho. Haki na usawa ni kwa wote.

Muasisi wa chuki unayoisema ni huyo unayeinekana kumshabikia.

Cc; Zawadini, FaizaFoxy
Tatizo Waarabu kutoka nje ya ndio wanaoingilia mambo ya Wapalestina.
 
Watu tunahitaji kujua ukweli halisi wa mzozo huo. Na niwaambie watanzania wenzangu kuwa mambo mengi kwa bahati mbaya Yako kwenye lugha ya Kimataifa- kiingereza.
Taifa la Palestine lilianzishwa 1967. KABLA ya hapo kilichokuwepo, ambacho the League of Nations (siku hizi ni UMOJA wa MATAIFA) ilikuwa land of Palestine ambayo ilikuwa eneo lote la Israel ya Leo na Jordan eneo hilo lilikaliwa na Waarabu na Wayahudi. Na Muingereza alipewa agizo la kuanzisha Taifa la Waarabu na Taifa la WaJews. Pia kule Gaza wakazi wake halisi ni Bedouins (Mabedui)-Hamas wanawachukia Hawa pia. Mpango huo wa Uingereza, Majews waliukubali LAKINI Waarabu wakakataa na ndyo MWANZO wa vita ya 1947-48 ambayo Jews walishinda na kujitangazia Taifa la Israel. Lakini Waarabu walibakiwa na Jerusalem na Egypt wakaitawala Gaza. Mwaka 1967 Waarabu wakalianzisha tena. Ndipo Israel katika siku sita Ikatwaa Jerusalem, Gaza Sinai na Gollan Heights.
Egypt wakaona isiwe shida wakafanya Amani na Israel lakini wakataka warudishiwe Sinai tu, Gaza wakaikataa. Israel iliikalia Gaza ambapo Pamoja na mambo mangine walipeleka MAJI NA UMEME MPAKA LEO na Wapalestina hawalipi chochote. 2005 walipoondoka Hamas na AGENDA ZAO za Uislam wa MUSLIM BROTHER HOOD wakaamza kuiharibu Gaza. Hata walichimbua mabomba ya steel ili kutengeneza Rockets.
Kwa kumalizia ni waambie kuwa Waislam kama alivyo Baba yao wa zamani ni Wazuri sana kwenye propaganda na kututeka sisi waafrica kuwa ati Waisrael ni Makaburu ka ilivyokuwa Africa ya Kusini. NO. Kwani kule Africa ya Kusini mtu Mweusi hakuruhusiwa kuwa kwenye Serikali ya Makaburu, Wala kupata haki za msingi za raia. Israel Waislam wako huru na wananafasi kwenye siasa za Israel na kupata haki zote kama elimu na matibabu


Tatizo kwa Hawa wenzetu Waislam liko kwenye mafundisho ya Mtume Mohammad wao. Anafundisha chuki. Na hata watu wengine wa dini za Kikiristo, Hindu, Buddha hatuko salama.
Screenshot_20231014-120809.png
 
Hata kwa hii comment yako, wewe ni mshindi pia kama Putin. Wewe hapa kula Tano kabisa mwana, hata kama kUle kwenye u Chadema na CCM tuko pande tofauti za pazia.
Ahahaha ni iitikadi tu matatizo hutuleta pamoja hiyo ndio raha ya utanzania uhasimu wa simba na yanga kuitwa utani wa jadi big up!
 
Watu tunahitaji kujua ukweli halisi wa mzozo huo. Na niwaambie watanzania wenzangu kuwa mambo mengi kwa bahati mbaya Yako kwenye lugha ya Kimataifa- kiingereza.
Taifa la Palestine lilianzishwa 1967. KABLA ya hapo kilichokuwepo, ambacho the League of Nations (siku hizi ni UMOJA wa MATAIFA) ilikuwa land of Palestine ambayo ilikuwa eneo lote la Israel ya Leo na Jordan eneo hilo lilikaliwa na Waarabu na Wayahudi. Na Muingereza alipewa agizo la kuanzisha Taifa la Waarabu na Taifa la WaJews. Pia kule Gaza wakazi wake halisi ni Bedouins (Mabedui)-Hamas wanawachukia Hawa pia. Mpango huo wa Uingereza, Majews waliukubali LAKINI Waarabu wakakataa na ndyo MWANZO wa vita ya 1947-48 ambayo Jews walishinda na kujitangazia Taifa la Israel. Lakini Waarabu walibakiwa na Jerusalem na Egypt wakaitawala Gaza. Mwaka 1967 Waarabu wakalianzisha tena. Ndipo Israel katika siku sita Ikatwaa Jerusalem, Gaza Sinai na Gollan Heights.
Egypt wakaona isiwe shida wakafanya Amani na Israel lakini wakataka warudishiwe Sinai tu, Gaza wakaikataa. Israel iliikalia Gaza ambapo Pamoja na mambo mangine walipeleka MAJI NA UMEME MPAKA LEO na Wapalestina hawalipi chochote. 2005 walipoondoka Hamas na AGENDA ZAO za Uislam wa MUSLIM BROTHER HOOD wakaamza kuiharibu Gaza. Hata walichimbua mabomba ya steel ili kutengeneza Rockets.
Kwa kumalizia ni waambie kuwa Waislam kama alivyo Baba yao wa zamani ni Wazuri sana kwenye propaganda na kututeka sisi waafrica kuwa ati Waisrael ni Makaburu ka ilivyokuwa Africa ya Kusini. NO. Kwani kule Africa ya Kusini mtu Mweusi hakuruhusiwa kuwa kwenye Serikali ya Makaburu, Wala kupata haki za msingi za raia. Israel Waislam wako huru na wananafasi kwenye siasa za Israel na kupata haki zote kama elimu na matibabu


Tatizo kwa Hawa wenzetu Waislam liko kwenye mafundisho ya Mtume Mohammad wao. Anafundisha chuki. Na hata watu wengine wa dini za Kikiristo, Hindu, Buddha hatuko salama.
View attachment 2781694
Kwako FaizaFoxy 😂🔥
 
Tatizo lilopo Palestina ni la muda mrefu kutokea kwenye unyakuzi wa maeneo yaliyokuwa ya wapalestina kufanywa taifa la Israel. Pia unyakuzi wa maeno zaidi ulioendelea kufuatia vita mbali baina yao 1967 na 1973.

Duniani kote watu wanaandamana kupinga ulipizaji kisasi wa Israel kwa wapalestina wote, kwa vita vyake na HAMAS:


View: https://m.youtube.com/watch?v=0bfIBhWquTU

Uingereza imepiga marufuku kunyanyua bendera ya HAMAS hadharani, lakini bado zinapanda. Maandamano ni kwingi duniani. Tokea mashariki ya mbali, kati, ya magharibi hadi New York huko, ni maandamano mtindo mmoja na si madogo.

Syria, Lebanon na West Bank kumeshakuwepo makabiliano (ya moto) na makombora mazito mazito. Huko ni maeneo mapya ya makabiliano.

"Hezbollah (Lebanon) Kwa hakika wapewe maua yao kwa kusimama na wapalestina kwa vitendo vikamilifu katika wakati huu mgumu." Bila kusahau Iran iko na Palestina na Hizbolla. Na Iran Iko na Urusi.

"Revenge or collective punishment" ni haramu kokote kulikostaarabika. Katibu Mkuu UN anasema hata vita zina sheria zake. Kwamba haki za binadamu na natural justice lazima kuheshimiwa.

Marekani na washirika wake wameapa kuiunga mkono Israel kwa lolote. Bila shaka "lolote" ni kwa maana yake kamili.

"Putin amekuwa wazi. La muhimu Sasa hivi ni kisisitiza vita kusimama mara moja. Bila kusahau historia ya mgogoro huu kwenye ni kwenye uvamizi wa ardhi ya Palestina."

Maneno kuntu kabisa kutoka kwake Vladimir Putiin, (pamoja na ukakasi Ukraine) rais wa Urusi.

"Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni."

Kwa hakika Nyerere, Mandela, Tutu na wa namna hiyo wangekuwapo, wangesha walaani Israel na kuwaunga mkono Palestina. Kwa hakika wangekuwa wameyafanya hayo hadharani na mchana kweupe.

Uzi huu unahusika:

Kama tunataka Katiba Mpya, Tusiionee "Haya" Haki ya awaye yote

Ushindani na mwenye nguvu unachotakiwa ujifanye mjinga. Panga karata zako weka malengo ya muda mrefu ndo uje u attack. Wapalestina wangetumia majanga yao kusoma na kuzamia nchi za first world kwa kusaka refugee asylum. Na kuingia kwenye system zao. Then ndio wangeweza kuishinda Israel. Maana waisraeli kinachowabeba wako kwenye system zote za dunia. Wapalestina wamejitahidi lakini wamejiamini mapema sana.
 
Back
Top Bottom