AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,190
- 18,078
- Thread starter
- #101
Hahahaha...Asha D...kama amepitia hii thread mayb!
Ila nawapenda kwenye having fun..ukiwa nao u rily enjoy ur tym (i.e. friday jioni nkitoka kazini na saturday)...afta that sitaki kujuana!
It's like they never think of the future..kwao ts jus spending lyk there's never tomorrow!
Afu wen u think wanawake wa mjini ndo wanashupalia equal rights..looh! unaeza shangaa..
jus because u r the man..utalia nakwambia! they want u 2 pay 4 everything..
hata sh. 500 ya gazeti la udaku alilonunua na muuza magazeti hana change ya 10,000 uliyotoa kulipia...damn! na anayo mfukoni..
SINA HAMU NANYI MABINTI WA MJINI![/QUOTE]
damn....nimecheka kwa nguvu zote, khaa kumbe wakaka mna tabu kiac hiki....hahahaha, mie nadhani inategemeana na choice zenu, wengi wenu mnawapenda hao mabinti wa mjini waliozoea hizo starehe mnazozisema, mdada anaejua kila konaya jiji, kila kona ya starehe mkikutana nawale wakawaida hamridhiki coz mnawaona kama washamba fulani hivi, jaribuni kuchagua kwa umakini wapo wadada kibao watulivu/wanajitambua.
Nyamayao i hope Mentor na wengineo watakusikia....