Understand that speacial lady you have fallen for....

Hahahha...mzee DC umenifurahisha kweli....kwahiyo kumbe wewe usichotaka ni usumbufu?!?!Ohhh alafu ni kwa Sadala...

Asante sana. Hakuna mtu anapenda kuzungushwa ndo maana watu wanatoa rushwa.
 
So it seems you know

kua RR ni ya ancl, saa nilipewa na Ex,
Possibility ya uzuri wa ndani waweza kua mbovu ukilinganisha na nje
half of my closet nilinunua niloenda matanuzi na sugar dadies (boy friend wawasingizia...)
Na ofcourse BB nilipata baada ya kukutana na Executive Manager wa Vodacom
Na najifanya Macs ni zangu na ni dhahiri sio...

Ukajua kabisa ni full dependent, ni full kugawa my :A S 465: kwa ajili ya mambo mazuri ya anasa,
Ni full kujishebedua... But still umenifuata na kunitokea kwa lengo ya tasting the fruit...

Unalalama nini kuninunulia gazeti la udaku na kunitoa mara kwa mara hata pale
nyumbani lounge for a white nite party????

Kinilalamishacho ni the fact kwamba una-assume mimi ni mtoto wa bill gates wakati tumesoma wote msingi ukanijua na wazazi ukawafahamu ukajua hali yetu kiuchumi.
Chuo japo nilikutangulia kwenda ulikuja na ukaona maisha yalivyo ya dhiki. ningependa na mimi wakati namaliza chuo na pesa ya akiba benki walau ya kuanzia maisha. Ila si unajua sote tulikuwa tukitegema kopo dada? Wazazi hawakuwa na uwezo wa kunioongezea walau iinue hali ya maisha?
Leo hii nimekuona nimeonesha interest kwako unani-treat kama mgodi wa Tanzanite? Leo hii nimekwmbia, "Babe, leo sina pesa walau twende pale uwakiki pub tupate tu za kupotezea muda"..ukachukua 'ur' pink BB na kumpigia RR aje kukuchukua na Hammer yake.
Jana, nimekununulia kiatu (japo sio cha dukani) unalalamika mbona Bujibuji anamnunulia wa kwake vya Dubai?
Juzi, during ur birthday (hata hushukuru nimekumbuka darlng!) nimekununulia gauni zuri tena la wool worth..unajua sikula siku ngapi ili niweze kusave hiyo pesa?
Ndo nimeanza maisha mpendwa wangu, hayo yote utayapata kama ukivumilia tu...
kwani si nawewe umesoma..?
Miezi mingapi sasa umenichuna leo hii huwezi niambia, "Babe, i saw this as I was passing by nikaipenda nikaona nkununulie."
sanasana, ulichofanya last week ni kuniletea shati eti nikupe 25k kisa ulimsikia Lizzy akisema anamnunuliaga NyaniNgabu alafu anaenda kumlipa! Unajua makubaliano yao?? (kwanza hilo shati lenyewe ningelinunua mwenyewe pale kariakoo ningelichukua for <15k)
.....eeeeh??
 
Eeeh hii inaonekana imefanyiwa utafiti inaukweli sana,hapa bwana 33-38yrs watu ndio wanaingiaga mkenge kutafuta mr right.
 

33 – 38 years

Bado yupo desirable, yupo more wise, a bit quiet.. bahati mbaya in most cases very depressed hasa kuhusiana na issue ya kupata mume.. she so needs to get married to the extent anaweza angukia pabaya ili mradi tu apate huyo mume.. katika stage hii mahusiano hayaangalii mapenzi wala sex.. it is more about the image kua lazima nae aolewe (image ambayo inakua forced tokana na jamii ilomzunguka) in this age hutambua kua rafiki zake woote wameolewa na wamesha pata first, second or third borne.. Hili group hupenda serious relationships with serious men wa kuwaoa but bahati mbaya saana wanaofaa kumuoa most wanafamilia ama stable girlfriends/fiancee… hio hupelekea wengi kukata tamaa na kuzaa tu na jamaa ambae kwake anaona ana qualify.. hapa usishangae hata ambae hakujui kwa bibi/babu anashawishika kwenda hasa anapopata mume wa mtu ambae very potential husband material… Stage hii mwanaume akimuangalia anahisi kafananishwa…

Wengi humu tupo hapa hapo chacha
 
Hivi we Mentor post yako ya mwisho inanitaka nini maana kila nikireply inalete mizengwe.Nwy ngoja niweke hapa .....



Hahhahah....Mentor hapa umemaliza kila kitu.Mara nyingi tatizo linakua uelewa wa maisha na hali halisi aliyo nayo mtu.Wadada wengi japo wanaweza kua sio wengi sana kazi ni kutaka kila fulani alichonacho.Hata vigezo vya mpenzi vinaigilizwa siku hizi...fulani akiwa na mzungu nae anamtaka mzungu....jamaa wa fulani sijui anaendesha mchuma gani mkali na yeye akija mwenye Corola hamtaki.Yani watu hawapendi kupenda bali wanapenda kutimiza mahitaji yao yawe ni kuonekana nae kakamata au kupangishia self bada ya ushahilini ili mradi tu nae aseme mwanaume wangu ana hiki na kile.
 

33 &#8211; 38 years

Bado yupo desirable, yupo more wise, a bit quiet.. bahati mbaya in most cases very depressed hasa kuhusiana na issue ya kupata mume.. she so needs to get married to the extent anaweza angukia pabaya ili mradi tu apate huyo mume.. katika stage hii mahusiano hayaangalii mapenzi wala sex.. it is more about the image kua lazima nae aolewe (image ambayo inakua forced tokana na jamii ilomzunguka) in this age hutambua kua rafiki zake woote wameolewa na wamesha pata first, second or third borne.. Hili group hupenda serious relationships with serious men wa kuwaoa but bahati mbaya saana wanaofaa kumuoa most wanafamilia ama stable girlfriends/fiancee&#8230; hio hupelekea wengi kukata tamaa na kuzaa tu na jamaa ambae kwake anaona ana qualify.. hapa usishangae hata ambae hakujui kwa bibi/babu anashawishika kwenda hasa anapopata mume wa mtu ambae very potential husband material&#8230; Stage hii mwanaume akimuangalia anahisi kafananishwa&#8230;

Wengi humu tupo hapa hapo chacha
Halafu juzi hukutokea
 
Mie nipo 26-32 kuna vijitu kavieleza vina ukweli na mimi.


33 &#8211; 38 years

Bado yupo desirable, yupo more wise, a bit quiet.. bahati mbaya in most cases very depressed hasa kuhusiana na issue ya kupata mume.. she so needs to get married to the extent anaweza angukia pabaya ili mradi tu apate huyo mume.. katika stage hii mahusiano hayaangalii mapenzi wala sex.. it is more about the image kua lazima nae aolewe (image ambayo inakua forced tokana na jamii ilomzunguka) in this age hutambua kua rafiki zake woote wameolewa na wamesha pata first, second or third borne.. Hili group hupenda serious relationships with serious men wa kuwaoa but bahati mbaya saana wanaofaa kumuoa most wanafamilia ama stable girlfriends/fiancee&#8230; hio hupelekea wengi kukata tamaa na kuzaa tu na jamaa ambae kwake anaona ana qualify.. hapa usishangae hata ambae hakujui kwa bibi/babu anashawishika kwenda hasa anapopata mume wa mtu ambae very potential husband material&#8230; Stage hii mwanaume akimuangalia anahisi kafananishwa&#8230;

Wengi humu tupo hapa hapo chacha
 
Kinilalamishacho ni the fact kwamba una-assume mimi ni mtoto wa bill gates wakati tumesoma wote msingi ukanijua na wazazi ukawafahamu ukajua hali yetu kiuchumi.
Chuo japo nilikutangulia kwenda ulikuja na ukaona maisha yalivyo ya dhiki. ningependa na mimi wakati namaliza chuo na pesa ya akiba benki walau ya kuanzia maisha. Ila si unajua sote tulikuwa tukitegema kopo dada? Wazazi hawakuwa na uwezo wa kunioongezea walau iinue hali ya maisha?
Leo hii nimekuona nimeonesha interest kwako unani-treat kama mgodi wa Tanzanite? Leo hii nimekwmbia, "Babe, leo sina pesa walau twende pale uwakiki pub tupate tu za kupotezea muda"..ukachukua 'ur' pink BB na kumpigia RR aje kukuchukua na Hammer yake.
Jana, nimekununulia kiatu (japo sio cha dukani) unalalamika mbona Bujibuji anamnunulia wa kwake vya Dubai?
Juzi, during ur birthday (hata hushukuru nimekumbuka darlng!) nimekununulia gauni zuri tena la wool worth..unajua sikula siku ngapi ili niweze kusave hiyo pesa?
Ndo nimeanza maisha mpendwa wangu, hayo yote utayapata kama ukivumilia tu...
kwani si nawewe umesoma..?
Miezi mingapi sasa umenichuna leo hii huwezi niambia, "Babe, i saw this as I was passing by nikaipenda nikaona nkununulie."
sanasana, ulichofanya last week ni kuniletea shati eti nikupe 25k kisa ulimsikia Lizzy akisema anamnunuliaga NyaniNgabu alafu anaenda kumlipa! Unajua makubaliano yao?? (kwanza hilo shati lenyewe ningelinunua mwenyewe pale kariakoo ningelichukua for <15k)
.....eeeeh??



Nishajua kua wewe si mtoto wa Bill gates, I do love you honey but sasa mimi
ni msichana ambae niko katika peak, I know am beautiful,
I know kua ni cause ya kuharibu muelekeo wa junior of most men,
najua kua sasa I have the power ya kukucontrol tokana na ufundi,
uzuri na majambozi (maana kila jioni nakikisha nastudy wat interests you more in 6/6..)
But najua huwezi nipa hayo mambo, kukuacha sikuachi sababu najua time
ikija wanaonitoa saizi hawatakuwepo…
Darling I know wat I want… thus acting this way….. (after all am in 26 – 32 stage HOT!)

Nilichukua my BB na kuchukuliwa katika ile hammer makusudi kabisaaa!!!
I want you to know kua you are lucky to have me na kufulia
kwako hivyo pleases baby stop winning and let me enjoy…
if you let me tutafaya the ways Jafarai na Shyrose walikua wanafanya
only this time mimi ndo Jafarai…

Ile birthday present ya Woolworth ndio ni nzuri but sikupenda sababu ulisubiri ziwe on SALE!! ndo ukaninunulia and you know what that means ….
Kwamba wenzangu wamevaa wamechoka!! Sorry if I hurt your feelings..

Alafu unalalama tu Mentor darling wewe si last week nilikutoa lunch,
au sababu ulilipia mwenyewe na kutafuta usafiri mwenyewe…
siku ile mwenye RR machale yalimcheza akataka niwe nae,
but nilikua nisha kuahidi… (umeona ninavyo kupenda eeeh???)

And by the way I don’t envy Mapenzi ya Partner na NN for I know
ataumizwa tu moyo, Nyani ngabu anapenda na kuwa quote G-Unit in love (bora hata amquote lil Wyne in HOW TO LOVE … Smashing)
na the guys (G- Unit) are not role models in love, hapo umenionea

 

33 &#8211; 38 years

Bado yupo desirable, yupo more wise, a bit quiet.. bahati mbaya in most cases very depressed hasa kuhusiana na issue ya kupata mume.. she so needs to get married to the extent anaweza angukia pabaya ili mradi tu apate huyo mume.. katika stage hii mahusiano hayaangalii mapenzi wala sex.. it is more about the image kua lazima nae aolewe (image ambayo inakua forced tokana na jamii ilomzunguka) in this age hutambua kua rafiki zake woote wameolewa na wamesha pata first, second or third borne.. Hili group hupenda serious relationships with serious men wa kuwaoa but bahati mbaya saana wanaofaa kumuoa most wanafamilia ama stable girlfriends/fiancee&#8230; hio hupelekea wengi kukata tamaa na kuzaa tu na jamaa ambae kwake anaona ana qualify.. hapa usishangae hata ambae hakujui kwa bibi/babu anashawishika kwenda hasa anapopata mume wa mtu ambae very potential husband material&#8230; Stage hii mwanaume akimuangalia anahisi kafananishwa&#8230;

Wengi humu tupo hapa hapo chacha


ha ha ha Gaga....lol...
Hapa pamoja saaaaaaaaaaaana!!!!
 
Mwenzio kuna kastage nilivuka basii shughuli lakini nashukuru hubby ananielewa..



Chauro dear ukishapata an undetstanding hubby, hakuna lingene, yoote hua kama mteremko in ndoa...
 
Back
Top Bottom