The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,080
Hahaha ungevuka ng'ambo ya pili ukaja OLIMPIONilikuja jmosi kuna wadada walikuwa na fujo sana nikaondoka
Hahaha ungevuka ng'ambo ya pili ukaja OLIMPIONilikuja jmosi kuna wadada walikuwa na fujo sana nikaondoka
90's was the bestPA.... mi like...
Sijui nilichelewa wapi mieMwenzio kuna kastage nilivuka basii shughuli lakini nashukuru hubby ananielewa..
:violin:Chauro dear ukishapata an undetstanding hubby, hakuna lingene, yoote hua kama mteremko in ndoa...
but my hope kua hivyo hivyo mdogo mdogo tutafika....
Hahahaha...Asha D...kama amepitia hii thread mayb!
Ila nawapenda kwenye having fun..ukiwa nao u rily enjoy ur tym (i.e. friday jioni nkitoka kazini na saturday)...afta that sitaki kujuana!
It's like they never think of the future..kwao ts jus spending lyk there's never tomorrow!
Afu wen u think wanawake wa mjini ndo wanashupalia equal rights..looh! unaeza shangaa..
jus because u r the man..utalia nakwambia! they want u 2 pay 4 everything..
hata sh. 500 ya gazeti la udaku alilonunua na muuza magazeti hana change ya 10,000 uliyotoa kulipia...damn! na anayo mfukoni..
SINA HAMU NANYI MABINTI WA MJINI![/QUOTE]
damn....nimecheka kwa nguvu zote, khaa kumbe wakaka mna tabu kiac hiki....hahahaha, mie nadhani inategemeana na choice zenu, wengi wenu mnawapenda hao mabinti wa mjini waliozoea hizo starehe mnazozisema, mdada anaejua kila konaya jiji, kila kona ya starehe mkikutana nawale wakawaida hamridhiki coz mnawaona kama washamba fulani hivi, jaribuni kuchagua kwa umakini wapo wadada kibao watulivu/wanajitambua.
Atiiiiii umesemaje sijakusikia vizuriSisi wa 14-18 watuache kabisaaaaaa!
Labda nikuchallenge kitu kimoja ashadii kuhusu vigezo ulivyotumia katika hiyo range ya umri.
14-18 kuna tofauti ya 4yrs wakati 19-25 ni 6yrs, 26-32 nayo ni 6yrs na 33-38 ni 5yrs.
Nimeipenda ina ukweli kabisa.
Sisi wa 14-18 watuache kabisaaaaaa!
Labda nikuchallenge kitu kimoja ashadii kuhusu vigezo ulivyotumia katika hiyo range ya umri.
14-18 kuna tofauti ya 4yrs wakati 19-25 ni 6yrs, 26-32 nayo ni 6yrs na 33-38 ni 5yrs.
Nimeipenda ina ukweli kabisa.
19 – 25 years
Anajiona kua kawa mtu mzima na hutaka saana awe treated kama mdada..She is half wild, minimally exposed, akiamini kua yeye ni yeye.. hujiachia saana, uvumilivu katika mahusiano sio saana after all wanaomtongoza na kum admire ni wengi saana, anajiona na kuamini kwa dhati ni mzuri hata kama sio (ila hukereka na kiungo kimoja wapo mwilini i.e pua, mdomo, boobs, wowowo, miguu, n.k). Katika love kwake kila kitu ni black and white… Hujiamini pia katika mahusiano na huamini sababu tu analala na the guy – hawezi dhubutu kumuacha yeye (the lady) au kumchanganya na wengine… Na la muhimu huamini huwezi ingia katika mahusiano kama hujapenda… Hii ndo period ambayo wadada tunakua most naïve… Stage hii mwanaume akimuangalia anajua kapendwa…
mtuache wenzenu bado wadogo.Atiiiiii umesemaje sijakusikia vizuri
akaaa! siku hizi hatudanganyiki kirahisi fidel.Nyie ndo wazuri mnajua kubana bajeti hapo najua natenga bajeti ya chipsi kuku, pedi, soda na nauli tu
Sisi wa 14-18 watuache kabisaaaaaa!
Labda nikuchallenge kitu kimoja ashadii kuhusu vigezo ulivyotumia katika hiyo range ya umri.
14-18 kuna tofauti ya 4yrs wakati 19-25 ni 6yrs, 26-32 nayo ni 6yrs na 33-38 ni 5yrs.
Nimeipenda ina ukweli kabisa.
Hahaha!!! Yamekwisha ngoja nikuletee faili lakoha ha ha.... tatizo umeng'ang'ania saana that age....lol... thus the headaches...
Wwewe mbona kila siku nakwambia uniache mimi bado mdogo unasema ati utanikuza taratibumtuache wenzenu bado wadogo.
Aaaaahh..
33 38 years
Wengi humu tupo hapa hapo chacha
akaaa! siku hizi hatudanganyiki kirahisi fidel.
Hahahaha...Asha D...kama amepitia hii thread mayb!
Ila nawapenda kwenye having fun..ukiwa nao u rily enjoy ur tym (i.e. friday jioni nkitoka kazini na saturday)...afta that sitaki kujuana!
It's like they never think of the future..kwao ts jus spending lyk there's never tomorrow!
Afu wen u think wanawake wa mjini ndo wanashupalia equal rights..looh! unaeza shangaa..
jus because u r the man..utalia nakwambia! they want u 2 pay 4 everything..
hata sh. 500 ya gazeti la udaku alilonunua na muuza magazeti hana change ya 10,000 uliyotoa kulipia...damn! na anayo mfukoni..
SINA HAMU NANYI MABINTI WA MJINI![/QUOTE]
damn....nimecheka kwa nguvu zote, khaa kumbe wakaka mna tabu kiac hiki....hahahaha, mie nadhani inategemeana na choice zenu, wengi wenu mnawapenda hao mabinti wa mjini waliozoea hizo starehe mnazozisema, mdada anaejua kila konaya jiji, kila kona ya starehe mkikutana nawale wakawaida hamridhiki coz mnawaona kama washamba fulani hivi, jaribuni kuchagua kwa umakini wapo wadada kibao watulivu/wanajitambua.
Lakini nyamayao, unasisitiza wakaka watafute wadada watulivu,
kwani wamekwambia wanataka kuoa hapo,
wanataka kuchungulia tu na kupuyanga, sasa huo utulivu wa nini hapo.................?.lol...
I drink to that... :bange:
Husny habari yako bana... nimefurahi unakubaliana nami na hivyo naamini kabisa hujawahi....lol
Hizi range dear nimetoa tokana na observation, ndio kuna under 14 wanahusishwa but sitaki
hata ku acknowledge... Inaniuma mana nina binti....
19 - 25 hii kwangu huona kama a learning period of trial and error and eventually you grow up!
26 - 32... observe hata hapa mjini, this group ni marafiki, waweza kua 30 una rafiki 27 or 32 just
because mko katika the same situation... hivyo nilijusitfy kwa hilo....
34 - 38 mmmmh hapa ni matatizo, hata hapa hapa MMU dada akija na stress
mchumba akitaja age, hii ndo mitaa yake ...
Habari yako Husny
pale hapafai kabisa parking ni shida sana na hakuna mduduHahaha ungevuka ng'ambo ya pili ukaja OLIMPIO