Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,945
- 4,499
Nicely put and from experience inanilazimisha kusema that is mostly experienced na wadada btn 19-25! sijui wengine lakini kwa hapo, Ashadiii amepatia..
Hawa wadada kwa mizinga dah noma, ukimtoa out anakuja na wapambe 3-4 hajui mzee mfukoni umejipangaje.
Alafu anaweza kwambia kuwa amekuja na taxi kumbe mkebe kachukulia karibu tu huko katoka na daladala
Yaani mabinti wa age hiyo wamekaa kichunaji nawaogopa kama ukoma